Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
kwahiyo akikusanya trillion 141 cash kwasabb ya kukufurahisha wewe aje aseme wamekusana trillion 120 si ndio? Halafu tena uje kubwekabweka....Kwa hiyo nawe umeishia hapo.
Nadharia na facts vinapaswa kuoana na siyo kukimbiana.
Alichoongea ni upumbavu na wewe unashaubikia kwa sababu unanufaika na huo upumbavu
ukweli unatabia ya uchungu au kuumiza Lazima uwe jasiri kuupokea hata kama huutaki