Prof. Kitila Mkumbo: Pato la kila Mtanzania limeongezeka nchini

Prof. Kitila Mkumbo: Pato la kila Mtanzania limeongezeka nchini

Kwa hiyo nawe umeishia hapo.

Nadharia na facts vinapaswa kuoana na siyo kukimbiana.

Alichoongea ni upumbavu na wewe unashaubikia kwa sababu unanufaika na huo upumbavu
kwahiyo akikusanya trillion 141 cash kwasabb ya kukufurahisha wewe aje aseme wamekusana trillion 120 si ndio? Halafu tena uje kubwekabweka....

ukweli unatabia ya uchungu au kuumiza Lazima uwe jasiri kuupokea hata kama huutaki
 
Tatizo la mnyiramba akishiba yeye, anaongea kama watu wote wameshiba, 😤👎
 
kwahiyo akikusanya trillion 141 cash kwasabb ya kukufurahisha wewe aje aseme wamekusana trillion 120 si ndio? Halafu tena uje kubwekabweka....

ukweli unatabia ya uchungu au kuumiza Lazima uwe jasiri kuupokea hata kama huutaki
Hujui unaongea nini mkuu.

Huyo mwenzako anafanya siasa za kipumbavu
 
Moja ya tafiti za kipumbavu hua ni hizi yani unachukua mpunga wa Mo, rosti tamu na mr tabasamu na matajiri wengine wengi alafu unagawa kutafuta wastani wa pato kwa mtu anaekula mlo mmoja kwa siku kwa kukosa pesa ya kununua chakula alafu unamwambia na yeye kipato chake kimeongezeka 🤔🤔 atakosa tusi zuri la kukutukana tuu
 
Pato la kwenye makaratasi

Eti huyu mzee wa Nissan extrail cdm

Leo kawa waziri,kweli maisha hayana

Formula

Ova
 
Jimbo lake la ubungo tu limemshinda

Ana danki danki tu

Ova
 
Aliyenacho na fukara bin fakir wote tunaishia kupata Dola 100 kwa mwezi. Kwa wenzetu hutu ni tuela twa mboga twa chai ya asubuhi tu.
 
Hayo mahesabu wanayajua wenyewe, uhalisia watanzania wanajijua hali zao kiuchumi zikoje. Ukiweza kujenga nyumba nzuri ya kisasa na kula mlo wa ukika kama dozi hapo hesabu inaweza kusemwa kipato kimeongezeka
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema katika ripoti ya Hali ya Uchumi nchini imeonesha Pato la Wananchi (GDP Per Capital Income) limepanda kutoka Dola za Marekani 399.5 (Tsh. 322,397) mwaka 2000 hadi kufikia Dola 1,200 (Tsh. 2,880,000).

Akifafanua zaidi amesema "Tukisema hivyo watu wanauliza mbona hizo fedha mbona mfukoni sina, hesabu zake ni kukusanya mapato ya Nchi nzima ambayo yakafikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila mtu."


Yuko sahihi, chukua kiasi cha pesa alizozitaja mkaguzi mkuu wa serikali kisha gawa kwa idadi ya watanzania utaona wote tulifaidika ingawa wao walituwekea.
 
Back
Top Bottom