Pato la Nchi limeongezeka ila kupata ni Juhudi zakoWengine kwenye huu mgawo wanatupunja
IgungaHuyu Mzee Anaongea Haya Akiwa Wapi Sasa
Nikajua nawatumia LIPA NAMBA ili hesabu likishapigwa wanitumbukizie huko😄Pato la Nchi limeongezeka ila kupata ni Juhudi zako
Kwahio anajua kabisa Statement yake inahitaji ufafanuziAkifafanua zaidi amesema "Tukisema hivyo watu wanauliza mbona hizo fedha mbona mfukoni sina,
Kwanini asielezee tu hivyo; kwahio kipato cha kila mtu mtaani kwenu kimeongezeka baada ya tajiri mmoja kuamia kitaa..., Kwanini tu asiseme kipato cha mtaa kimeongezeka LAKINI sio kipato cha kila Mtanzaniahesabu zake ni kukusanya mapato ya Nchi nzima ambayo yakafikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila mtu"
Huyu asitufanye hamnazoWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema katika ripoti ya Hali ya Uchumi nchini imeonesha Pato la Wananchi (GDP Per Capital Income) limepanda kutoka Dola za Marekani 399.5 (Tsh. 322,397) mwaka 2000 hadi kufikia Dola 1,200 (Tsh. 2,880,000).
Akifafanua zaidi amesema "Tukisema hivyo watu wanauliza mbona hizo fedha mbona mfukoni sina, hesabu zake ni kukusanya mapato ya Nchi nzima ambayo yakafikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila mtu."
View attachment 2830388
" The main difference between FOOLS and BRAVES is that, BRAVES speak when they have something to say, but FOOLS speak because they have to say something."Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema katika ripoti ya Hali ya Uchumi nchini imeonesha Pato la Wananchi (GDP Per Capital Income) limepanda kutoka Dola za Marekani 399.5 (Tsh. 322,397) mwaka 2000 hadi kufikia Dola 1,200 (Tsh. 2,880,000).
Akifafanua zaidi amesema "Tukisema hivyo watu wanauliza mbona hizo fedha mbona mfukoni sina, hesabu zake ni kukusanya mapato ya Nchi nzima ambayo yakafikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila mtu."
Hivi huyu mtu anajua athari za upuuzi anapuongea?Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema katika ripoti ya Hali ya Uchumi nchini imeonesha Pato la Wananchi (GDP Per Capital Income) limepanda kutoka Dola za Marekani 399.5 (Tsh. 322,397) mwaka 2000 hadi kufikia Dola 1,200 (Tsh. 2,880,000).
Akifafanua zaidi amesema "Tukisema hivyo watu wanauliza mbona hizo fedha mbona mfukoni sina, hesabu zake ni kukusanya mapato ya Nchi nzima ambayo yakafikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila mtu."
Si uchukue hiyo jumla ya makusanyo ya trillion 141 kisha uigawanye kwa idadi ya watanzania wote ili usichoshwe na mtuHuyu asitufanye hamnazo
Madaraka yamemlevya sana
Kila siku ni yeye pelepele blablahn&$ko anatuchosha
hebu msaidizi ndugu mchumi makusanyo ya trillion 141 ukigawanya kwa waTanzania wote inakua kiasi gani.Hivi huyu mtu anajua athari za upuuzi anapuongea?
Kwa hiyo nawe umeishia hapo.hebu msaidizi ndugu mchumi makusanyo ya trillion 141 ukigawanya kwa waTanzania wote inakua kiasi gani.
Maana naona unakasirikia hata hela iliyokusanywa kutoka kwako?🤣