Prof. Kitila tembelea Rwanda ukatuletee teknolojia ya kutengeneza magari badala ya kuzindua matela

Prof. Kitila tembelea Rwanda ukatuletee teknolojia ya kutengeneza magari badala ya kuzindua matela

akifika kule nadhan mda mwingi atakuwa akiutumia kukaa hotelini akiandaa madokezo na kunywa mvinyo na totoz.... hahaaa haaaa
 
Lugha za kuongea na wawekezaji tunazijua. Ndiyo maana tumefanikiwa kujadiliana na Barrick na tukapata 16%. Kwa msingi huo hoja ya kumulazimisha Waziri kwenda Rwanda bado 'haishikilii maji'!
Una 16% ya Barrick wewe?

Muulize mchumi wa daraja la kwanza pale Hazina akuambie ulichonacho Barrick.

Ni heri ya Simba na Mo!
 
Inauma unapoona ati twende Rwanda kujifunza ICT wakati akina Kitalima wa UCC - university of Dar es Salaam Computing Centre miaka 21 iliyopita ndiyo walioianzisha hiyo ICT huko Rwanda. Akina Prof Rwakabamba etc:

siye utasikia tunasifia akina Tundu Lissu, Shangazi, Kigogo2014, Maria Sarungi etc ambao walikuwa ni wakatishaji tamaa wa Kagame wa Tanzania ambaye ameondoka na sasa kila mtu anaona pengo lake ingawa ni siku 110 tu. Tunasifia watu kama JK anayechukua bombardier ili akazike Kaunda na Abiria wanashinda airport kuisubiri.

Mwache tu kitila mkumbo
Badiko lina miiba kweli hili.
 
Rwanda, kama Rwanda, hawana technologia ya kutengeneza magari, achilia mbali piki piki. Walichofanya ni kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji, ndipo wenye technologia na mitaji yao wakaenda kuwekeza pale.

Serikali yetu inapaswa kujifunza jinsi ya kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuvutia technologia za kisasa na mitaji.
Kama serikali inabambika watu kuitwa gaidi na kuwaweka rumande muwekezaji gani atatamani kuwekeza nchi yenye ugaidi!??
 
Una 16% ya Barrick wewe?

Muulize mchumi wa daraja la kwanza pale Hazina akuambie ulichonacho Barrick.

Ni heri ya Simba na Mo!
Nina ushahidi. Tena ushahidi unatoka kwa Barrick Mwenyewe. Sipo JF kupotosha mimi. Nipo JF kujifunza na kusema ukweli.
===
Dar es Salaam – January 24, 2020 – Barrick Gold Corporation (NYSE:GOLD) (TSX:ABX) says it has made significant progress in reshaping the Tanzanian operations it consolidated through the take-over of Acacia Mining in September last year in order to create a sustainable business capable of long-term value creation for its stakeholders.

At a signing ceremony with the President of the United Republic of Tanzania, Dr John Pombe Magufuli, to formalize the establishment of a joint venture between Barrick and the government, Bristow said the joint venture, which will give the government full visibility of and participation in operating decisions made for and by the North Mara, Bulyanhulu and Buzwagi mines, was a pioneering move which would take Barrick’s policy of partnership with its host countries to a new level.

The agreement also ratifies the creation of Twiga Minerals Corporation, the management company jointly owned by the government and Barrick, that will oversee the management of Barrick’s local operations, which are now owned 84% by Barrick and 16% by the government. The deal provides for a 50/50 sharing in the economic benefits generated by the mining operations after the recoupment of capital investments.

Following today’s ceremony, there are a number of matters which Barrick and the government will work together to implement. In particular, Barrick will partner with the University of Dar es Salaam and commit up to $10 million in funding over a 10-year period for training and skills development in the mining industry, and will also commit up to $40 million to upgrade the road between Bulyanhulu and Mwanza as well as constructing a housing compound and related infrastructure.

“Since taking over the operatorship, we have been engaging with local communities to restore the mines’ social license to operate and we are cooperating closely with the authorities to address the environmental issues at North Mara. In addition, we are working on a local supplier strategy as well as a community development plan to create sustainable economic opportunities for the people around our mines”, Bristow said.

Bristow said that there was a strong focus on rationalizing and optimizing mine plans. Following the successful transition to owner mining at North Mara, this has already delivered a reduction in costs and an increase in free cash flow. A similar result is expected at Bulyanhulu, where an integrated study aimed at optimizing the complete orebody should kick-start the resumption of mining operations there later this year.

“Reflecting our confidence in the potential of this highly prospective gold region, we have budgeted $50 million for brown and greenfields exploration here in 2020 alone and are looking at various opportunities to sustain and expand our operations”, Bristow said.

In line with Barrick’s commitment to employing and advancing locals at its mines, Tanzanian nationals are being recruited and trained to replace expatriate employees as has been successfully done at Barrick’s other African operations. In addition, Acacia’s offices outside the country have been closed, and company records and day-to-day decision-making and accountability have been moved back to the operations in Tanzania.

===
Source: Barrick Back in Business in Tanzania
 
Wachumi wetu wakajifunze namna nchi zinavyokuza uchumi na kuongeza mapato na ajira kwa Viwanda.

Wachumi wetu wanaringia doctorate za uchumi huku akili hizo ndio zinatumika kuweka tozo na anajigamba kuwa hapo katumia akili zake mpaka mwisho.
 
Inauma unapoona ati twende Rwanda kujifunza ICT wakati akina Kitalima wa UCC - university of Dar es Salaam Computing Centre miaka 21 iliyopita ndiyo walioianzisha hiyo ICT huko Rwanda. Akina Prof Rwakabamba etc:

siye utasikia tunasifia akina Tundu Lissu, Shangazi, Kigogo2014, Maria Sarungi etc ambao walikuwa ni wakatishaji tamaa wa Kagame wa Tanzania ambaye ameondoka na sasa kila mtu anaona pengo lake ingawa ni siku 110 tu. Tunasifia watu kama JK anayechukua bombardier ili akazike Kaunda na Abiria wanashinda airport kuisubiri.

Mwache tu kitila mkumbo
Uyo Kagame wa Tanzania ndie aliyeongoza kuuwa mazingira ya uwekezaji Tanzania hakuna kipindi katika historia ya nchi hii ambacho mitaji ya kibiashara ilihama ama kufa kama kipindi cha 2015-2020. Unakumbuka kauli ya Aliko Dangote kuhusu sera za uwekezaji za Tanzania?

Unapoandika uwe na fact Rwanda inavutia wawekezaji kwa kupunguza kodi na kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji ikiwemo na uhakika wa ulinzi wa teknolojia, Rwanda imewekeza kwenye elimu nyie mnawekeza kwenye ujinga na uongo mnataka mfanane na Rwanda.

Kama Rwanda wangepata mgodi mmoja tu wa Tanzania wangekuwa na GDP kubwa kuliko Tanzania.

Mnataka wawekezaji waje kuwekeza huku mnawaaminisha watu kuwa Tanzania kuna magaidi ambao wanaongoza vyama vya siasa ni nani mwenye akili timamu ataweka mtaji kwenye nchi yenye magaidi?
 
Uyo Kagame wa Tanzania ndie aliyeongoza kuuwa mazingira ya uwekezaji Tanzania hakuna kipindi katika historia ya nchi hii ambacho mitaji ya kibiashara ilihama ama kufa kama kipindi cha 2015-2020.

Unapoandika uwe na fact Rwanda inavutia wawekezaji kwa kupunguza kodi na kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji ikiwemo na uhakika wa ulinzi wa teknolojia, Rwanda imewekeza kwenye elimu nyie mnawekeza kwenye ujinga na uongo mnataka mfanane na Rwanda.

Kama Rwanda wangepata mgodi mmoja tu wa Tanzania wangekuwa na GDP kubwa kuliko Tanzania.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Zanzibar Kuna madini gani? Ninauliza tu
 
Rwanda, kama Rwanda, hawana technologia ya kutengeneza magari, achilia mbali piki piki. Walichofanya ni kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji, ndipo wenye technologia na mitaji yao wakaenda kuwekeza pale.

Serikali yetu inapaswa kujifunza jinsi ya kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuvutia technologia za kisasa na mitaji.
Kampuni ya kijerumani inayounganisha magari Rwanda ilitaka kuwekeza hapa bongo lakini mazingira ya biashara hayakuwaridhisha. Kitila na team yake waanzie hapo.
 
Ni ushauri tu kwa Waziri wa Viwanda na Biashara Profesa Kitila Mkumbo kwamba afanye ziara hapo Rwanda yeye na wasaidizi wake watajifunza mambo mengi ya uchumi halisi na siyo wa kwenye karatasi.

Mungu ni mwema wakati wote!
sera zetu za kishamba.. hata aende akakae miaka mia moja.. kama hatujabadilisha sera zetu pilocy na hasa hasa katiba.. fikiria muwekezaji akutane na jitu kama sabaya.. unadhani hawahadithiani?

wana forum zao wanaambiana kuwa pale sio ..
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kutengeneza na kuungania vifaa ili upate gari. Rwanda wanaunganisha! Sidhani kama Engine block inakuwa 'moulded' hapo Kigali!

Hata hivyo, hii haihitaji waziri kwenda Rwanda bali kwenda kwa watengenezaji wa magari moja kwa moja kuongea nao namna ya kuwekeza hapa nchini. Kumshauri kwenda Kigali ni upotevu wa muda adhimu na hela.

Kama kweli unataka Waziri aende Rwanda basi tuwekee hapa Checklist ya vitu atakavyokwenda kufanya huko Kigali.
Mbona benbros simba trailers, quality motors, dar coach, BM motors, scania tanzania, wanaunda magari miaka mingi,
 
Kampuni ya kijerumani inayounganisha magari Rwanda ilitaka kuwekeza hapa bongo lakini mazingira ya biashara hayakuwaridhisha. Kitila na team yake waanzie hapo.
Mbona tuna scania tanzanite, hizi howo si juzi waziri mkuu kazindua kiwanda Chao pale changombe
 
Ni ushauri tu kwa Waziri wa Viwanda na Biashara Profesa Kitila Mkumbo kwamba afanye ziara hapo Rwanda yeye na wasaidizi wake watajifunza mambo mengi ya uchumi halisi na siyo wa kwenye karatasi.

Mungu ni mwema wakati wote!
Hatuna cha kujifunza Rwanda, labda namna ya kubaki madarakani, kitu pekoe tunachoweza jifunza kwao ni maturities ya snipers
 
Ni ushauri tu kwa Waziri wa Viwanda na Biashara Profesa Kitila Mkumbo kwamba afanye ziara hapo Rwanda yeye na wasaidizi wake watajifunza mambo mengi ya uchumi halisi na siyo wa kwenye karatasi.

Mungu ni mwema wakati wote!
Sasa ni Miaka 60 toka Tanzania imepata Uhuru Mamia kwa mamia ya Viongozi Wametembelea ULAYA kwenye VIWANDA vikubwa vya MAGARI NDEGE TRENI NA MELIhawajatuletea CHOCHOTE itakuwa KITILA MKUMBO kwenda RWANDA
 
Sasa ni Miaka 60 toka Tanzania imepata Uhuru Mamia kwa mamia ya Viongozi Wametembelea ULAYA kwenye VIWANDA vikubwa vya MAGARI NDEGE TRENI NA MELIhawajatuletea CHOCHOTE itakuwa KITILA MKUMBO kwenda RWANDA
Hahahaaaa........!
 
Uyo Kagame wa Tanzania ndie aliyeongoza kuuwa mazingira ya uwekezaji Tanzania hakuna kipindi katika historia ya nchi hii ambacho mitaji ya kibiashara ilihama ama kufa kama kipindi cha 2015-2020. Unakumbuka kauli ya Aliko Dangote kuhusu sera za uwekezaji za Tanzania?

Unapoandika uwe na fact Rwanda inavutia wawekezaji kwa kupunguza kodi na kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji ikiwemo na uhakika wa ulinzi wa teknolojia, Rwanda imewekeza kwenye elimu nyie mnawekeza kwenye ujinga na uongo mnataka mfanane na Rwanda.

Kama Rwanda wangepata mgodi mmoja tu wa Tanzania wangekuwa na GDP kubwa kuliko Tanzania.

Mnataka wawekezaji waje kuwekeza huku mnawaaminisha watu kuwa Tanzania kuna magaidi ambao wanaongoza vyama vya siasa ni nani mwenye akili timamu ataweka mtaji kwenye nchi yenye magaidi?
Wewe ni kinda hujui lolote, nakubaliana na wewe maana umri wako ni wa kujazwa pumba na si uhalisia.
 
Ni ushauri tu kwa Waziri wa Viwanda na Biashara Profesa Kitila Mkumbo kwamba afanye ziara hapo Rwanda yeye na wasaidizi wake watajifunza mambo mengi ya uchumi halisi na siyo wa kwenye karatasi.

Mungu ni mwema wakati wote!

aaah! yote ya nini hayo ndugu? Sisi bado tunajenga madaraja yale ya miti yanayogharimu sh. milioni 31. Yakikamilika ndo tuwaze magari sasa
 
Ni ushauri tu kwa Waziri wa Viwanda na Biashara Profesa Kitila Mkumbo kwamba afanye ziara hapo Rwanda yeye na wasaidizi wake watajifunza mambo mengi ya uchumi halisi na siyo wa kwenye karatasi.

Mungu ni mwema wakati wote!

aaah! yote ya nini hayo ndugu? Sisi bado tunajenga madaraja yale ya miti yanayogharimu sh. milioni 31. Yakikamilika ndo tuwaze magari sasa
 
Back
Top Bottom