Msaada kwenye tuta.
Ni ipi tofauti ya michango na gawio? Kama ameshindwa kutoa gawio, hiyo michango anatoa wapi?
Pia, mashirika yasiyoweza kuzalisha na kutegemea hela zetu, kwanini tunaendelea kuwa nayo?
Kama nchi, mnaridhika na TPA kutoa 153b kama gawio?