Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba akiwa Igalula: Mkinichagua kuwa Rais wa nchi hii nitatoa huduma bora ya afya na kudhibiti vifo vya wajawazito na watoto

Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba akiwa Igalula: Mkinichagua kuwa Rais wa nchi hii nitatoa huduma bora ya afya na kudhibiti vifo vya wajawazito na watoto

Wako wengi tuu wanajitoa ufahamu eti kila mmoja anajitapa atashinda na kuwa rais. Hawana akili pumbafff zao wote wanaojua wanasindikiza halafu wamekata mshipa wa aibu kuropoka bila aibu eti watakuwa Marais hapo October.
😂😂😂😂 Hadi watia aibu Sana na kushangaza kila mtu anasema et atakuwa raisi
 
Njaa mbaya sana, haijalishi unaelimu gani. Prof ameizalilisha elimu yake kisa pesa.
 
Back
Top Bottom