Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba amshukia vikali Tundu Lissu, ahoji kuweka pingamizi kwa wagombea wawili ilhali wote wamefata maelekezo ya Tume

Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba amshukia vikali Tundu Lissu, ahoji kuweka pingamizi kwa wagombea wawili ilhali wote wamefata maelekezo ya Tume

Lisu ni kama moto, hata usipouona utasikia harufu yake. Huyo Lisu hata asipotangazwa na chombo chochote cha habari humu nchini, bado habari zake watu watazitafuta...
Moto unaharufu gani mkuu.... Yaani hata angepata coverage ya vyombo vya habari jamaa ashachuja. Na kitu kinachoonekana nikama hata wengine wa Chadema viongozi nikama wamemuacha mwenyewe yani.

Atakata pumzi mapema sana kipindi cha kampeni
 
Hesabu za Lissu juu ya pingamizi kabugi Sana maana kaugawa upinzani tz
 
Lisu ni kama moto, hata usipouona utasikia harufu yake. Huyo Lisu hata asipotangazwa na chombo chochote cha habari humu nchini, bado habari zake watu watazitafuta. Mpaka sasa Tundu Lisu hapewi covarage na vyombo rasmi vya habari, na hata akipewa ni zile negative, lakini ndio mwenye mvuto automatically kwa watu. Huo ndio ukweli usiopingika. Huyo Lipumba acha tu kupewa covarage na vyombo vya habari, hata awe mtangazaji kwenye media zote au mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, hana mvuto tena.
Wapo pia wanaozitafuta habari za Lipumba na CUF kwa ujumla kama ambavyo wewe unatafuta habari za Lissu hata pale vyombo vya habari vinapompotezea, huo umoto wa Lissu upo kwa watu wa aina yenu tena humu mitandaoni na ndio maana kutwa mmekuwa mkilaumu vyombo vya habari kwa kumpotezea huyo moto wenu, na hii ni wazi kuwa wanachokifanya vyombo vya habari kina athari na ndio maana mnapiga kelele.
 
Mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba amemshukia vikali Tundu Lissu kwa kumuita mnafiki asiyejua chochote kuhusu sera, amani, maendeleo na demokrasia ya nchi yetu...
Kwani Professor Ana mashaka gani yeye sianakubalika hata ameachiwa office za Buguruni pamoja na chama, wale alioona wanamgasi so wameondoka, hata ruzuku wamemwachia
 
Lissu watanzania makini vichwani wameamua kumpuuza ndio maana anafanya kila aina ya tukio azidi kuonekana..

Kuwa mzalendo piga chini dalali wa mabeberu
 
Mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba amemshukia vikali Tundu Lissu kwa kumuita mnafiki asiyejua chochote kuhusu sera, amani, maendeleo na demokrasia ya nchi yetu...
Huyu mwamba this time hadi Spunda mzee wa wali atampita😂😂
 
Moto unaharufu gani mkuu.... Yan hata angepata coverage ya vyombo vya habar jamaa ashachuja
Na kitu kinachoonekana nikama hata wengine wa chadema viongozi nikama wamemuacha mwenyewe yani
Atakata pumzi mapema sana kipind cha kampeni

Hayo ndio matamanio yako achuje. Lisu anategemea kura zetu, wala hahitaji kuzungukwa na viongozi wengine wa Cdm kama unavyotaka kupotosha. Kwa taarifa huyo Lisu hata angekuwa mgombea binafsi, bado wengi tuna imani naye.

Kwa jinsi tunavyomkubali hata asipofanya kampeni bado tunamkubali sana. Na kwa taarifa yako hata angekuwa nje ya nchi na asifanye kampeni yoyote, ili mradi awe kwenye karatasi la kura bado angepata kura zetu.
 
Mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba amemshukia vikali Tundu Lissu kwa kumuita mnafiki asiyejua chochote kuhusu sera, amani, maendeleo na demokrasia ya nchi yetu...
Mzee Prof. sana Lipumba ina maana hujaelewa kwanini umejumuishwa na na Magufuli kwenye pingamizi wewe ni nyau chini ya meza ya bwana mkubwa watu wanaona!!
 
Lipumba bhana, sasa haoni Lissu katumia haki yake kuweka pingamizi kwa watu anaotaka? Au pingamizi ni pambo tu katika sheria za NEC na hazitakiwi kuwa exercised?

Poor Lipumba, akili zimemruka!
 
Kwa Lipumba, Lissu aliamua kumbully tu...

Nchi hii sasa hivi hakuna mtu aliye na amani kama Lissu sasa hivi. The guy is having fun ... anashuhudia watesi wake wakimgwaya.

Silaha waliyoamua kutumia ni kuminya vyombo vya habari visimtangaze ila sijui kama wana Plan B pale watakapoona Plan hiyo haiwasaidii
 
Lipumba bhana,sasa haoni Lissu katumia haki yake kuweka pingamizi kwa watu anaotaka?Au pingamizi ni pambo tu katika sheria za NEC na hazitakiwi kuwa exercised?
Poor Lipumba,akili zimemruka!
Akamuwekee pingamizi Mbowe
 
Kumuwekea pingamizi Mbowe siyo Uhuru wa kidemokrasia?
Nakuuliza, Mbowe ni mgombea urais? Mataga mna matatizo gani vichwani mwenu?!

Haya, ngoja nikujibu kulingana na ubovu wako wa akili!

Kumuwekea au kutomuwekea pingamizi ni uhuru wa kidemokrasia!
 
Lipumba wewe ni Profesa lakini ni kila.za! Tundu Lissu alikutumia tu kama scapegoat katika kum- attack Rais Magufuli! You are clever but not intelligent !
Kwanini asi attack direct ni mjinga basi kama ni hivyo, hawezi kumtukana mtu kupitia mwingine.

Ni mbinafsi sana akichukua nchi hakutakuwa na uhuru au demokrasia maana anadhani yeye anajua kuliko wenzake.
Kumbe hajui, kwanza maswala ya uchumi ni kilaza. Anajua kesi bora hata Fatuma Karume
 
Mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba amemshukia vikali Tundu Lissu kwa kumuita mnafiki asiyejua chochote kuhusu sera, amani, maendeleo na demokrasia ya nchi yetu...
Haina haja ya kumuongelea maana tutakua tunapoteza muda tu.
 
Back
Top Bottom