Prof. Lipumba, Dr. Dau na sasa Prof. Assad walijengwa sana na wanasiasa kuliko uhalisia wa utendaji wao kitaaluma

Prof. Lipumba, Dr. Dau na sasa Prof. Assad walijengwa sana na wanasiasa kuliko uhalisia wa utendaji wao kitaaluma

Assad anaheshimika sana huko nje, humu ndani tunamchukulia katika ule msemo wa nabii hakubaliki kwao.

Prof Muhongo alifikia hatua ya kudhihakiwa na Dr Kigwa bungeni wakati huko nje ni mtu mkubwa sana.

Kazi anazopewa Lipumba huko nje ni kubwa sana lakini humu jukwaani anadharauliwa vibaya mno.

Ni rahisi kuwakebehi wasomi wetu humu nchini mwetu lakini huko nje wanaijua sana kazi yao.

Watanzania sisi kwa sisi tunadharauliana lakini huko nje wana mitazamo tajiri yenye kuuheshimu uwezo wa mtu.
 
Ukifanya uchunguzi mdogo tu utagundua katika mazingira fulani watatu hawa Prof Lipumba, Dr Dau na Prof Assad wanafanana sana.

Na lililo kuu wote ni walimu wa Udsm kama ilivyo kwa Prof. Kabudi.

Lakini watatu hawa umaarufu wao " umetengenezwa" zaidi na wanasiasa vijana kwa sababu za kisiasa " zaidi "

Ukiwaangalia katika upande wa taaluma na utendaji ni watu wa kawaida kabisa.

Nadhani nimeeleweka.

Maendeleo hayana vyama!

WAGALATIA NI WAPUUZI SANA,
YAANI MNAJIAMINISHA KUWA NINYI NDO WENYE AKILIKULIKO WENGINE AU SIO...
JAMAA UMEJAAWA NA UDINI WA HALI YA JUU JAPO UMESHINDWA KUWA MUWAZI KWA CHUKIZAKO DHIDI YA NDUGU ZETU WAISLAAM.
INAONEKANA NINYI NDIO MLIOKUWA MNAMPINGA MAMA SAMIA KIPINDI KILE CHA UZUSHI ALIOUENEZA KIGOGO.UKIWA MASIKINI WA AKILI SIKU ZOTE UNAISHIA KWENYE MAJUNGU NA CHUKI
PHACOCHERE MKUBWA WEWE
 
Penda chetu kwanza ni msamihati unaokosekana katika nyoyo za watanzania.
Unamponda Dau,au Lipumba,na Assad,wakati elimu hiyo kwa waliowengi hawawezi kufikia hata robo.
Watakuwa na makosa kama binadamu wengine lakini ni vichwa vya kisomi sio waganga wakienyeji.
Tabia hii ya kuponda wasomi ni akina sungura sizitaki ni mbichi.
 
Mtoa mada una agenda ya siri iliyojificha nyuma ya mada yako

Yampasa mtu awe na jicho la tatu kuelewa hasa nini maana ya post yako

Acha nia yako hiyo ovu utaumbuka

We are born equally no matter what.....
 
Assad anaheshimika sana huko nje, humu ndani tunamchukulia katika ule msemo wa nabii hakubaliki kwao.

Prof Muhongo alifikia hatua ya kudhihakiwa na Dr Kigwa bungeni wakati huko nje ni mtu mkubwa sana.

Kazi anazopewa Lipumba huko nje ni kubwa sana lakini humu jukwaani anadharauliwa vibaya mno.

Ni rahisi kuwakebehi wasomi wetu humu nchini mwetu lakini huko nje wanaijua sana kazi yao.

Watanzania sisi kwa sisi tunadharauliana lakini huko nje wana mitazamo tajiri yenye kuuheshimu uwezo wa mtu.
Je, Prof Lipumba bado anaheshimiwa huko nje hata sasa!
 
Mtoa mada una agenda ya siri iliyojificha nyuma ya mada yako

Yampasa mtu awe na jicho la tatu kuelewa hasa nini maana ya post yako

Acha nia yako hiyo ovu utaumbuka

We are born equally no matter what.....
Hiyo nia ovu ni ya kwako wewe usinisingizie!
 
Ukifanya uchunguzi mdogo tu utagundua katika mazingira fulani watatu hawa Prof Lipumba, Dr Dau na Prof Assad wanafanana sana.

Na lililo kuu wote ni walimu wa Udsm kama ilivyo kwa Prof. Kabudi.

Lakini watatu hawa umaarufu wao " umetengenezwa" zaidi na wanasiasa vijana kwa sababu za kisiasa " zaidi "

Ukiwaangalia katika upande wa taaluma na utendaji ni watu wa kawaida kabisa.

Nadhani nimeeleweka.

Maendeleo hayana vyama!
Acha kumfananisha Assad ,Dau nahuyo nahuyo kibaraka. Umewai wakuta wapi hao wawili wakifanya siasa???
 
Umenena vyema Allah mbna ameshaliweka waz hili kwa muislam anayejitambua wala hawez shangaa hili
WAGALATIA NI WAPUUZI SANA,
YAANI MNAJIAMINISHA KUWA NINYI NDO WENYE AKILIKULIKO WENGINE AU SIO...
JAMAA UMEJAAWA NA UDINI WA HALI YA JUU JAPO UMESHINDWA KUWA MUWAZI KWA CHUKIZAKO DHIDI YA NDUGU ZETU WAISLAAM.
INAONEKANA NINYI NDIO MLIOKUWA MNAMPINGA MAMA SAMIA KIPINDI KILE CHA UZUSHI ALIOUENEZA KIGOGO.UKIWA MASIKINI WA AKILI SIKU ZOTE UNAISHIA KWENYE MAJUNGU NA CHUKI
PHACOCHERE MKUBWA WEWE
 
Hilo lipo waz ukifanya utafit mdogo tu hii nchi wengi walioifilisi na waupande ule ambao wanajiona wana haki ya kila kitu nchi hii
Mtoa mada una agenda ya siri iliyojificha nyuma ya mada yako

Yampasa mtu awe na jicho la tatu kuelewa hasa nini maana ya post yako

Acha nia yako hiyo ovu utaumbuka

We are born equally no matter what.....
 
Assad anaheshimika sana huko nje, humu ndani tunamchukulia katika ule msemo wa nabii hakubaliki kwao.

Prof Muhongo alifikia hatua ya kudhihakiwa na Dr Kigwa bungeni wakati huko nje ni mtu mkubwa sana.

Kazi anazopewa Lipumba huko nje ni kubwa sana lakini humu jukwaani anadharauliwa vibaya mno.

Ni rahisi kuwakebehi wasomi wetu humu nchini mwetu lakini huko nje wanaijua sana kazi yao.

Watanzania sisi kwa sisi tunadharauliana lakini huko nje wana mitazamo tajiri yenye kuuheshimu uwezo wa mtu.

Mambo ya Tanzania magumu sana ndugu yangu.

Hawa wataalamu wetu wakija huku kuna mahala wanakwama na huwa tukisema wale ndugu zetu wapenda siasa wanaanza kuleta siasa zao, Jibu ni rahisi sana mifumo sio rafiki kwa wataalamu kufanya kazi. CCM kama chama tawala kimejikita kutawala na kupambanie existence yake hivyo hata ukiwa mtaalam lazima uishi kwa kusimamia hilo.. Jaribu kumuangalia yule Prof Mbawala saikolojia yake utaona kabisa sio mwanasiasa na hataki siasa lakini analazimishwa kuishi hivyo.
 
Mambo ya Tanzania magumu sana ndugu yangu.

Hawa wataalamu wetu wakija huku kuna mahala wanakwama na huwa tukisema wale ndugu zetu wapenda siasa wanaanza kuleta siasa zao, Jibu ni rahisi sana mifumo sio rafiki kwa wataalamu kufanya kazi. CCM kama chama tawala kimejikita kutawala na kupambanie existence yake hivyo hata ukiwa mtaalam lazima uishi kwa kusimamia hilo.. Jaribu kumuangalia yule Prof Mbawala saikolojia yake utaona kabisa sio mwanasiasa na hataki siasa lakini analazimishwa kuishi hivyo.
Mchanganyiko wa siasa na masuala ya kiuchumi huwa na madhara ya moja kwa moja kwenye uchumi.
 
Hivi unamjua Profesor Lipumba kweli wewe? tunaweza mponda kwenye mambo yake ya siasa ila professional yake.

Mtu kupata sifa ya kujiunga Level ya certificate imebidi arudie mitihani ya kidato cha nne Mara tano unategemea atajua ili kuwa Prof unatakiwa uwe vipi?
 
Back
Top Bottom