Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba: Katika kipindi cha miaka mitano, mzunguko wa fedha umekuwa mdogo, tunahitaji kubadilisha hali hiyo

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234


"Katika kipindi Cha miaka mitano, mzunguko wa fedha umekuwa mdogo, biashara haitoki, hakuna mzunguko wa fedha unaokidhi mahitaji, tunahitaji kuibadilisha hali hiyo".Prof. Lipumba-Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

RAIS MAKINI
SERIKALI MAKINI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…