CUF Habari JF-Expert Member Joined Dec 12, 2019 Posts 239 Reaction score 234 Sep 9, 2020 #1 "Katika kipindi Cha miaka mitano, mzunguko wa fedha umekuwa mdogo, biashara haitoki, hakuna mzunguko wa fedha unaokidhi mahitaji, tunahitaji kuibadilisha hali hiyo".Prof. Lipumba-Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania RAIS MAKINI SERIKALI MAKINI
"Katika kipindi Cha miaka mitano, mzunguko wa fedha umekuwa mdogo, biashara haitoki, hakuna mzunguko wa fedha unaokidhi mahitaji, tunahitaji kuibadilisha hali hiyo".Prof. Lipumba-Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania RAIS MAKINI SERIKALI MAKINI
Naipendatz JF-Expert Member Joined Jul 27, 2011 Posts 5,096 Reaction score 8,234 Sep 9, 2020 #2 Lipumba kachoka kweli kweli
Shindu Namwaka JF-Expert Member Joined Sep 22, 2014 Posts 4,911 Reaction score 3,083 Sep 9, 2020 #3 Huyu msaliti sitokuja kuja kumsahau Maishani mwangu kamwe.
mpandaone JF-Expert Member Joined Mar 7, 2017 Posts 518 Reaction score 290 Sep 9, 2020 #4 Mchumiatumbo
3llyEmma JF-Expert Member Joined Oct 23, 2017 Posts 6,172 Reaction score 6,884 Sep 9, 2020 #5 Lipumba bora hata HASHIM RUNGWE