Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Usishangae mkuu mbona toka juzi yanafanyika haya...[emoji3]Radio Free Africa wamefanikia kutukatia matangazo ya DW badala yake wametuwekea ma nyimbo ya kisengerema
Inahitaji ujasiri sana kushiriki kwenye hili zoezi. Walau huko nyuma mambi yalikuwa yakifanywa kwa siri. Ila kwa sasa, yanafanywa hadharani.
Ni wakati wa kudai kurejeshewa Rasimu yetu ya Katiba. Ambayo itatambua uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi na pia kupunguza mamlaka ya Rais!
Potelea mbali tu hatawakijua
Potelea mbali hata wakijua sio hatar ila cha muhim kujua n kwamba bill zang nalipa mwenyewe
Hivi hili jibu linaendana au kujibu tuhuma / issue aliyoelezea ? Angalia issue aliyo-raise majibu uliyotoa wewe alafu tafakari kwa mujibu wa hizo statement mbili ni nani hapo ana walakini kwenye mind yake...Kuna muda ukiongea jambo fulani watu wanahisi 'there is something wrong in your mind'
Yaan tangu 1995 unapambana kwenye hamna.
Ni vizuri ukubali muda umekupita
Umejibu hoja? Hivi darasa-la-saba leavers mnatafuta nn humu Jf kwa Great Thinkers??!!Lipumba naye atulie ni muda wa kustafu siasa akalee wajukuu
Kwa iyo yeye alitaka amchague Lissu, huku akitegemea uteuzi wa JPM?!Akiongea na ITV leo saa 6 Mh mgombea urais wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania kupitia CUF ,amesema ameshtushwa baada ya kuona namba yake ya kadi ya mpiga kura ikiandikwa katika ballot paper aliyopewa hivyo kupelekea kua kama watachukua namba hizo zilizoandikwa kwenye ballot paper inakua rahisi kujua nani kampigia kura nani na nani na hivyo kura sio za siri tena.
Source;ITV
Nb;Nadhani imewekwa hivyo ili JIWE agundue wasaliti wake ni nani na nani katika uchaguzi huu na ajabu kwanini vyama vya upinzani halijagundua hili mapema.
Musundi kwa kabila letu ni kinyeo pole sanaUmejibu hoja? Hivi darasa-la-saba leavers mnatafuta nn humu Jf kwa Great Thinkers??!!
Huu uchaguzi ni upuuzi kama upuuzi mwingine, na ndio maana watanzania wengi wamepuuza zoezi zima. Idadi ya wapiga kura ni ndogo kuliko maelezo kwenye vituo. Mambo kama hayo nani yuko tayari kwenda kushiriki huo upuuzi?
We huna kinyeo? Au kinyeo chako hakina umuhimu kwenye mwili wako?? Zero brain!Musundi kwa kabila letu ni kinyeo pole sana
Hivi unafanya kazi muda gani ya kujiingizia kipato?Chadema mmetutesa sana Watanzania, tumewachoka