CUF Habari JF-Expert Member Joined Dec 12, 2019 Posts 239 Reaction score 234 Sep 29, 2020 #1 PROF. LIPUMBA KUUNGURUMA LEO WILAYANI USHETU, SHINYANGA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba leo atawahutubia wananchi wa Wilaya ya Ushetu, Mkoani Shinyanga. Prof. Lipumba atahutubia kata ya Idahina eneo la Mwabomba, Machimboni, kata ya Bulugwa saba sabini,na kumalizia kata ya Mpunze wilayani Ushetu
PROF. LIPUMBA KUUNGURUMA LEO WILAYANI USHETU, SHINYANGA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba leo atawahutubia wananchi wa Wilaya ya Ushetu, Mkoani Shinyanga. Prof. Lipumba atahutubia kata ya Idahina eneo la Mwabomba, Machimboni, kata ya Bulugwa saba sabini,na kumalizia kata ya Mpunze wilayani Ushetu