Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba kuunguruma leo wilayani Ushetu, Shinyanga

Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba kuunguruma leo wilayani Ushetu, Shinyanga

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234
Screenshot_20200929-075153.png

PROF. LIPUMBA KUUNGURUMA LEO WILAYANI USHETU, SHINYANGA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba leo atawahutubia wananchi wa Wilaya ya Ushetu, Mkoani Shinyanga.

Prof. Lipumba atahutubia kata ya Idahina eneo la Mwabomba, Machimboni, kata ya Bulugwa saba sabini,na kumalizia kata ya Mpunze wilayani Ushetu
 
Back
Top Bottom