johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia
Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani
Ahsanteni sana 😄
Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani
Ahsanteni sana 😄