Tetesi: Prof Lipumba, Mzee Mbowe na James Mbatia wakutana kuelekea uchaguzi mkuu lengo ni kuitoa CCM madarakani!

Tetesi: Prof Lipumba, Mzee Mbowe na James Mbatia wakutana kuelekea uchaguzi mkuu lengo ni kuitoa CCM madarakani!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia

Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani

Ahsanteni sana 😄
 
Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia

Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani

Ahsanteni sana 😄
Labda kama ni kupingana na Lissu. Hao wazee si ni CCM?
Wengi wao kama siyo wote ni Mamluki wa wale jamaa
 
Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia

Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani

Ahsanteni sana 😄
Tatizo lako wewe mzushi hivyo inakuwa vigumu kutilia maanani taarifa zako.
 
Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia

Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani

Ahsanteni sana [emoji1]
Kwa kuokoteza VI-HABARI tu, hauwezekaniki!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia

Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani

Ahsanteni sana 😄
Abdul hakuwepo kwenye hicho kikao?
 
Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia

Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani

Ahsanteni sana 😄
😆😆Acha kuchekesha walionuna
 
Back
Top Bottom