johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
CCM ni Chama MamaLabda kama ni kupingana na Lissu. Hao wazee si ni CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni Chama MamaLabda kama ni kupingana na Lissu. Hao wazee si ni CCM?
Mbona Wassira anaweza 😂Hawana jipya Hawa.. Walishashindwa wakiwa katika ubora wao leo hii wataweza wakiwa ni wastafu.
??
Ccm daima Samia mitano tenaKuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia
Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani
Ahsanteni sana 😄
Mbowe na mbatia wamepinduliwa, lipumba kapindua. Nadhani wana agenda ya kumtoa Lissu tuu hakuna cha zaidi.Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia
Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani
Ahsanteni sana 😄