johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia
Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani
Ahsanteni sana π
Wengi wao kama siyo wote ni Mamluki wa wale jamaaLabda kama ni kupingana na Lissu. Hao wazee si ni CCM?
Nia ni njema kabisa Nadhani hata Tundu Lisu ataalikwa baadaeMuda utasema mradi tu isiwe ni agenda ya tofauti kwa lengo la kuhujumu upinzani hasa CHADEMA.
Kuna mambo yanaendelea ni vema tukawa tunawapa Vipande VipandeBwashee umeanza kunywa ulanzi mapema leo? Ungesubiri basi hata jioni.
Kikwete: Kwenye uchaguzi Hakunaga Adui MdogoWameshakuwa vibogoyo hao.. Hawana jipya..
Msigwa ameshafilisika kisiasa amebakia kuchafua watu tu na uchawa tu. Hawezi kusikilizwa na watu wenye akili.Kuna mambo yanaendelea ni vema tukawa tunawapa Vipande Vipande
Tegemea mapya Kutoka Kwa mchungaji Msigwa ππ₯
Hawana jipya Hawa.. Walishashindwa wakiwa katika ubora wao leo hii wataweza wakiwa ni wastafu.Kikwete: Kwenye uchaguzi Hakunaga Adui Mdogo
Tatizo lako wewe mzushi hivyo inakuwa vigumu kutilia maanani taarifa zako.Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia
Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani
Ahsanteni sana π
Hao wote watatu ni mapandikizi ya ccm!! Wanataka kuganga njaa , hawana jipya!! Wamechuja .Muda utasema mradi tu isiwe ni agenda ya tofauti kwa lengo la kuhujumu upinzani hasa CHADEMA.
Kwa kuokoteza VI-HABARI tu, hauwezekaniki!Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia
Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani
Ahsanteni sana [emoji1]
Abdul hakuwepo kwenye hicho kikao?Kuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia
Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani
Ahsanteni sana π
ππAcha kuchekesha walionunaKuna Taarifa za kitetesi kuwa Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amekutana faragha na Viongozi waandamizi wa Upinzani Wastaafu Mzee Mbowe na James Mbatia
Nini kimejiri, zikitufikia utafahamishwa hapa hapa japo inaelezwa wanapanga mikakati ya kuitoa CCM madarakani
Ahsanteni sana π