Prof. Lipumba na wenzake waonesha tabasamu, MC Kissu alivyowaita vyama rafiki wa CCM huko Kwanza

Prof. Lipumba na wenzake waonesha tabasamu, MC Kissu alivyowaita vyama rafiki wa CCM huko Kwanza

DT125

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
437
Reaction score
637
Kwenye maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kumbukumbu ya miaka 25 tangu kifo cha Mwl Nyerere uwanja wa CCM Kilumba Mwanza.

Prof. Lipumba pamoja na viongozi wengine wa vyama vidogo vidogo vya upinzani nchini, wakiongozwa na Prof. Lipumba walionesha kutoa sura ya tabasamu pale mshereheshaji Shaaban Kissu alivyowaita vyama rafiki wa CCM.

Awali nilidhani wataoneshwa viongozi wa Frelimo, ANC, Zanu-PF, MPLA na SWAPO ambao ndivyo vyama rafiki wa CCM kumbe ni wakina Lipumba na wenzake.

Picha haikukaa sana sikuweza kubaini hata Kiongozi wa Chama mstaafu kama na yeye alikuwepo kwenye kundi la vyama rafiki.
 
Lazima wajichekeshe waishi kwa amani, na kula keki ya taifa.

Bongo hakuna vyama vya upinzani ni matawi ya CCM
 
Kwenye maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kumbukumbu ya miaka 25 tangu kifo cha Mwl Nyerere uwanja wa CCM Kilumba Mwanza.

Prof. Lipumba pamoja na viongozi wengine wa vyama vidogo vidogo vya upinzani nchini, wakiongozwa na Prof. Lipumba walionesha kutoa sura ya tabasamu pale mshereheshaji Shaaban Kissu alivyowaita vyama rafiki wa CCM.

Awali nilidhani wataoneshwa viongozi wa Frelimo, ANC, Zanu-PF, MPLA na SWAPO ambao ndivyo vyama rafiki wa CCM kumbe ni wakina Lipumba na wenzake.

Picha haikukaa sana sikuweza kubaini hata Kiongozi wa Chama mstaafu kama na yeye alikuwepo kwenye kundi la vyama rafiki.
Mbowe kaiacha hiyo posho kweli au haujaangalia vizuri?
 
Kwenye maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kumbukumbu ya miaka 25 tangu kifo cha Mwl Nyerere uwanja wa CCM Kilumba Mwanza.

Prof. Lipumba pamoja na viongozi wengine wa vyama vidogo vidogo vya upinzani nchini, wakiongozwa na Prof. Lipumba walionesha kutoa sura ya tabasamu pale mshereheshaji Shaaban Kissu alivyowaita vyama rafiki wa CCM.

Awali nilidhani wataoneshwa viongozi wa Frelimo, ANC, Zanu-PF, MPLA na SWAPO ambao ndivyo vyama rafiki wa CCM kumbe ni wakina Lipumba na wenzake.

Picha haikukaa sana sikuweza kubaini hata Kiongozi wa Chama mstaafu kama na yeye alikuwepo kwenye kundi la vyama rafiki.
CUF inaelekea ikofika UMD ya Chief Fundikira.
 
Chama pinzani Tanzania ni kimoja tu; Chadema pekee yake; vingine vyote ni taasisi tanzu za CCM. Maneno, matangazo, makatazo, misisitizo na hata wakitaka kufanya kitu kama benchmark utasikia inatajwa Chadema na sio ACT, CUF ya Lipumba ndio usiseme
 
Upinzani siyo uadui ndugu zanguni,, sisi sote tupo tunajenga daraja moja,, ni hayo tu 🙏🏽🙏🏽
 
Back
Top Bottom