Prof Lipumba: Nakubaliana na tamko la maaskofu

mimi nimeshatoka kanisani na kwa jinsi nilivyoelewa na padre wangu alipokuwa anatusomea tamko hilo hakuna wa kunishawishi kuipigia kura ya ndiyo katiba feki ya Chenge.

Pia hata sisi leo tumesomewa tamko la kutoka baraza la maaskofu Tanzania kwamba tusiipigie kura katiba mpya tusio ifahamu NAUNGA MKONO HOJA
 
Kwenu wote naomba munijuze.....KATIBA PENDEKEZWA ITAPITA KIHALALI AU KWA MIZENGWE??? Zingatia kanuni na sheria za mchakato.
 
Magezeti yanamlisha maneno au anaendeleza dhana ya unafiki!


[video]https://youtu.be/ujwfFUUAD70[/video]

Mwaka huu tutaona na kusikia mengi!


Kama haujamuelewa kaa kimya

Profesa Lipumba alisema pamoja na mahakama hiyo kutokuwa ngeni hapa nchini kwa kuwa ilikuwapo Tanzania Bara wakati wa ukoloni na Zanzibar, bado inaendelea kufanya kazi bila tatizo, mfumo unaotaka kutumiwa na Serikali kuianzisha hivi sasa unapingwa na baadhi ya Waislamu na Wakristo hivyo kusababisha mgawanyiko.

Alisema hali hiyo imefikia hapo kutokana na CCM kuliingiza suala hilo kwenye ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2005, hivyo njia bora ya kuondoa sintofahamu iliyopo ni kwa kutumia muda mrefu zaidi katika kutafuta muafaka
 
Ndugu wananchi tujitokeze kwa wingi kujiandikisha ktk daftari la kudumu la wapiga kura ili kuipigia kura ya HAPANA katiba inayopendekezwa.

daftari gani hilo? Serikali inasitisha hilo zoezi. Utatumia kitambulisho chako cha mpiga kura cha zamani.
 
Pia hata sisi leo tumesomewa tamko la kutoka baraza la maaskofu Tanzania kwamba tusiipigie kura katiba mpya tusio ifahamu NAUNGA MKONO HOJA
Pia taratibu kibaao za kisheria na kimaadili zimekiukwa.
 
Lipumba ni mnafiki mkubwa hana msimamo leo hii haitaki mahakama ya kadhi! Anasema utaratibu kuanzisha uangaliwe upya wakati Maaskofu wa ukawa wanasema jambo la mahakama ya kadhi lisiwepo kabisa.

mnafiki mwenyewe na wasiokupeleka shule ukashinndwa kujua na kuchambua alichozungumza mashekh wenyewe wameukataa mswada huo ulopelekwa bungeni na bado haujakaa sawa mpaka leo mbulula wewe
 
Mengi mtasema na pumba tutaziona. Kwanza wewe unayeunga mkono Tamko la Kundi hilo umeisoma Katiba inayopendekezwa. Soma uelewe ndipo ufanye uamzi bila kumtegemea Lipumba Ibrahi Haruna Profesa.
 
Mengi mtasema na pumba tutaziona. Kwanza wewe unayeunga mkono Tamko la Kundi hilo umeisoma Katiba inayopendekezwa. Soma uelewe ndipo ufanye uamzi bila kumtegemea Lipumba Ibrahi Haruna Profesa.
 
Who is Lipumba in this country. Which position does he hold in the government. Is he DC, RC, Minister, Mtendaji wa Kijiji, or what!!! Neglect him play your part my brother or sister!:lol::lol:
 
Nami sikubaliani nawe Mwalimu wangu Lipumba kwa hili. Ungenifundisha kuhusu uchumi ningekuelewa zaidi. Lakini kwa kuwa wewe ni mwanasiasa mtaji wako ni maneno. Wapo wenye msimamo kama wewe watakusikiliza lakini wenye uelewa kama mimi hawatakubaliana nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…