Prof. Lipumba: Rais Samia anaelekea kumpiku Kikwete kwa kusafiri nje ya nchi

Prof. Lipumba: Rais Samia anaelekea kumpiku Kikwete kwa kusafiri nje ya nchi

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Mwenyekiti wa CUF prof Lipumba ametoa ripoti ya Baraza la Wazee wa chama hicho waliokaa hivi karibuni na kuelezea kuwa wanasikitishwa na ukuaji wa kasi wa deni la taifa na inaelekea Rais Samia anampiku Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete kwa u Vasco dagama wa kusafiri nje ya nchi kukopa kwa kisingizio cha kufungua nchi!
 
Mwenyekiti wa CUF prof Lipumba ametoa ripoti ya baraza la wazee wa chama hicho waliokaa hivi karibuni na kuelezea kuwa wanasikitishwa na ukuaji wa kasi wa deni la taifa na inaelekea Rais Samia anampiku Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete kwa u Vasco dagama wa kusafiri nje ya nchi kukopa kwa kisingizio cha kufungua nchi!
Lipumba nimedharau tangu alipotumiwa kuivuruga Cuf. hakuna msomi muislam mwenye msimamo wa ovyo kama Lipumba.
 
Haiingii akilini. Watanzania wanasota na wao wakitaka wawe wawekezaji nchini mwao walakini vipaumbele wanapatiwa eti Private Investors.

Kwani Private Investors ama Private partners ni lazima wawe ni Wazungu, Waarabu, Wahindi n.k? Huo ni Ukoloni mamboleo 3.0

Yaani hawa wanatungiwa mpaka sheria, mfano PPP, wanashushiwa ama kuondolewa kodi ati ndio kutachochea Biashara na kukuza Uchumi. Hela zetu wenyewe za kodi. Tunashindwa nini kujiinua wenyewe?

Kufungua nchi mai fut. Anachosema Profesa ni sahihi-U Vasco Da Gama ni kuukaribisha Utumwa na Ukoloni mamboleo.
 
Pona kwanza malaria ndo uje umuelewe Lipumba . Lipumba ni mchumi msomi mwenye fikra huru . Hafungwi na itikadi za kidini .
Lipumba akitumia misikiti kwa manufaa yake. Lipumba katika wasomi wa ovyo kutokea ni yeye. Prof gani duniani ametumiwa kama vile?
1718003242625.jpeg
 
Haiingii akilini. Watanzania wanasota na wao wakitaka wawe wawekezaji nchini mwao walakini vipaumbele wanapatiwa eti Private Investors.

Kwani Private Investors ama Private partners ni lazima wawe ni Wazungu, Waarabu, Wahindi n.k? Huo ni Ukoloni mamboleo 3.0

Yaani hawa wanatungiwa mpaka sheria, mfano PPP, wanashushiwa ama kuondolewa kodi ati ndio kutachochea Biashara na kukuza Uchumi. Hela zetu wenyewe za kodi. Tunashindwa nini kujiinua wenyewe?

Kufungua nchi mai fut. Anachosema Profesa ni sahihi-U Vasco Da Gama ni kuukaribisha Utumwa na Ukoloni mamboleo.

Mapato ya bandari sasa hivi ni siri kati ya Rais Samia na DP world
 
Mwenyekiti wa CUF prof Lipumba ametoa ripoti ya Baraza la Wazee wa chama hicho waliokaa hivi karibuni na kuelezea kuwa wanasikitishwa na ukuaji wa kasi wa deni la taifa na inaelekea Rais Samia anampiku Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete kwa u Vasco dagama wa kusafiri nje ya nchi kukopa kwa kisingizio cha kufungua nchi!
INASIKITISHA KWA KWELI
 
Back
Top Bottom