Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaLipumba nimedharau tangu alipotumiwa kuivuruga Cuf. hakuna msomi muislam mwenye msimamo wa ovyo kama Lipumba.
Lipumba na Slaa waliuuza upinzani 2015
Bila hivyo kungekuwa na safu hii ya uongozi 2015.
Rais - Lowassa
Waziri mkuu - Mbowe
Waziri wa Fedha- Lipumba
Waziri mambo ya ndani - Slaa
Waziri wa katiba na sheria - Lissu
Waziri TAMISEMI - Halima mdee
The rest is history
You too.Ndiyo nini
Uislamu hauhusiki na character ya mtu. Wasomi waislamu na wakristu wapo wengi wa hovyo- dini haikuwa misingi ya uhovyo waoLipumba nimedharau tangu alipotumiwa kuivuruga Cuf. hakuna msomi muislam mwenye msimamo wa ovyo kama Lipumba.
Ingekuwa nchi ya ovyo mno kwasababu hakuna watu wezi kama watu wa kaskaziniLipumba na Slaa waliuuza upinzani 2015
Bila hivyo kungekuwa na safu hii ya uongozi 2015.
Rais - Lowassa
Waziri mkuu - Mbowe
Waziri wa Fedha- Lipumba
Waziri mambo ya ndani - Slaa
Waziri wa katiba na sheria - Lissu
Waziri TAMISEMI - Halima mdee
The rest is history