Pre GE2025 Prof. Lipumba: Tumeshajeruhiwa na Muungano wa Vyama vya Upinzani

Pre GE2025 Prof. Lipumba: Tumeshajeruhiwa na Muungano wa Vyama vya Upinzani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huenda umesahau. CUF waliunga mkono ujio wa Lowassa CDM na walimuweka Haji Duni kuwa mgombea mwenza aliyehamia CDM kwa lengo la maslahi ya CUF katika huo muunganiko.

Lipumba anazungumzia 2020, Lowassa aligombea 2015

..Lipumba hakuwepo kwenye Ukawa, alikuwa amemkimbia Lowassa.

..wanaopaswa kulalamika ni kina Juma Duni, Maulidi Mtulia, Magdalena Sakaya, Abdul Kambaya, na wengine ambao walibakia CUF wakati wa Ukawa.

..Ukawa ilikuwa na faida kwa CUF maana iliwabana CCM huku Tanganyika, na kupelekea CUF kupata ushindi wa wazi ktk uchaguzi wa Zanzibar.
 
Ameona haya kusema 2015 sababu hiyo ilimfanya kujitoa cuf na kukimbilia rwanda kabla ya kurudi na kuibukia ikulu shati lote mgongoni limoroa jasho na kuja kuiteka cuf na kuifanya mali yake akimpora maalimu seif!
Anafikiri wananchi ni wajinga na hawakumbuki alichokifanya! Hovyo sana huyu dingi
 
Yaani Lipumba anacheza mindgame za kijinga, cdm hawataki kujiunga naye, anadhani akisema hivyo cdm ndio wataona anafaa wambembeleze? Yeye aendelee kujiunga na ccm maana ndio watu wake.
 
Back
Top Bottom