Prof. Lumumba: Hongera Magufuli, hongera Watanzania


Weka post ya wakati huo akikoosoa ccm ukiwa unamuunga mkono ili tujue hupingi kila kitu.
 
10 November 2020
Julius Nyerere International airport
Dar es Salaam, Tanzania

Tundu Lissu - Naondoka Hapa Tanzania Hakuna Usalama

Wapambanaji wengi wa haki na uhuru waliondoka kwako kwenda kujitayarisha upya. Mfano Che Guevara, David Ben-Gurion wa State of Israel, Geoge Garang' wa SPLA wa Sudan, Vladimir Ilyich Ulyanov a.k.a Lenin of the Soviet Union, Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda , Paul Kagame RPF wa Rwanda, Samora Machel wa FRELIMO wa Mozambique, Fidel Castro wa Cuba, Eduardo Mondlane wa FRELIMO , Nelson Mandela wa South Africa n.k
Source : MwanaHALISI tv
 
Shame on you....PLO !
You shouldn't have said what you considering the dirty and Filth CCM poured on our being !
 
Mkuu kwema tofautitofauti ya huyu na Lipumba ninini ?
Ha ha ha aaa !!! Mkuu hebu niache kwanza! Haya mambo yana raha zake, ni stress free! Hakuna kuumiza kichwa.

Ila kule kwenye serious issues za "geosecurity" ni shida! Maana unaona kabisa hapa Trump anabonyeza red button!!!
 
Ha ha ha aaa !!! Mkuu ebu niache kwanza! Haya mambo yana raha zake, ni stress free! Hakuna kuumiza kichwa.

Ila kule kwenye serious issues za "geosecurity" ni shida! Maana unaona kabisa hapa Trump anabonyeza red button!!!
😂😂😂
Trump akili zake anazijua mwenyewe ataenda kucheza golf akirudi ana mkuta Biden ikulu!
 
This is not a professor. He is a pro-fedheha, a stinking bootlicker in the veil of academics.
 
Duh tazama wasomi wetu walivyo kosa akili angekuwa ni Baba yangu ningechana vyeti vyake
 
Eti kampongeza mpaka Membe kwa kutoa hoja kwenye kampeni, huyo kweli ni Prof. Lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…