Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Jibu swali wewe !Wewe una akili timamu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali wewe !Wewe una akili timamu ?
Hakuna hasira ni ukweli - leo unatuambia msimamao huu, kesho huu - sisi wananchi tukueleweje sasa hasa tukizingatia wewe ni mzee msomi na mwenye uzoefu mkubwa kwenye mambo ya siasaKwahiyo huruma yako kwa watanzania huzidi na hasira yako huwaka zaidi pale mtu anapompongeza Magufuli hadi unatumia maneno Kama "hili li baba...... Mizee kama hii" ?
Punguza dharau, yaani Director wa Kenya Law School unashaka na Elimu yake au hawana uwezo wa kupata professor kuongoza Law School, haha haha haha. Au ndio mipasho ya Facebook.Hakuna profesa hapo, ni mlamba viatu asiye na chembe ya heshima!
Mitano tena au sioSasa kwanini hukwenda kutimiza hiyo haki yako sasa
Mbona Lugola alikuwa Waziri wa Mambo ya ndani ! Vyeo havimaanishi chochote kwenye utimamu wa mtu , hatuna shaka na Elimu ya Lumumba bali hofu yetu ni kwenye utimamu wa kichwa chakePunguza dharau, yaani Director wa Kenya Law School unashaka na Elimu yake au hawana uwezo wa kupata professor kuongoza Law School, haha haha haha. Au ndio mipasho ya Facebook.