Kenya 2022 Prof. Lumumba kama Mwl aliyepishana na gari ya mshahara

Kenya 2022 Prof. Lumumba kama Mwl aliyepishana na gari ya mshahara

Kenya 2022 General Election
AZIMIO baada ya kuteua Martha Karua kama Dp wa RAO , tayari nimeanza kupata shaka sana na kama kweli hustlers wataweza kutoboa?
 
Hii hainatofauti na kwetu jumlisha yote uone
Haina tofauti kwa idadi ya miaka, lakini ina tofauti kwa content na objectives ukisoma vizuri hiyo image. Hata wao 233333 inazidi 844 kwa mwaka mmoja tu. Sisi mfumo wetu kwa miaka mingi umekuwa wa kukariri kufaulu mitihani tu.
 
Tayari Raila aliishaanza kureform Kenya ahead of time, kupitia Deep State aliishauri serikali mwaka 2017 (baada ya maridhiano yaliyoasisiwa na Magufuli kati ya Raila na Uhuru PHOTOS: Magufuli Unites Uhuru and Raila - Kenyans.co.ke) waondoe mfumo wa elimu wa 844 na kuzindua CBC (Competency Based Curriculum) ambayo kwa Tz tumei-adopt miaka 3 nyuma lakini hata walimu hawajapewa mafunzo yake kwa kukosa rasilimali fedha na kufanya matokeo kutokuwa mazuri. Hii ya Kenya iko hivi:

Badala ya 844 sasa ni 233333

View attachment 2230481
Jamaa wapo mbali sn
 
AZIMIO baada ya kuteua Martha Karua kama Dp wa RAO , tayari nimeanza kupata shaka sana na kama kweli hustlers wataweza kutoboa?
Kumbe umeoona vizuri mkuu, wapiga kura-za-uchungu za kuleta mabadiliko ni wanawake, hivyo wanawake wote wa Kenya wanatafuta coalition yenye mwanamke ili wapate ukombozi kwa sababu wanawake ndiyo hustlers wazuri kuliko wanaume tena wanawake ndiyo wahanga wa mabalaa yote ya sayari hii kuanzia ukame, njaa, vita, maradhi nk.

Lkn mkuu, EAC yote wanawake wameishapata high profile positions kasoro Kenya tu;

Tz SSH - VC na President.

UG Specioza Kazibwe 6th VC.

RW Agathe Uwilingiyimana PM na Acting President 1993 kabla ya kuwa assassinated 1994.

SS Jemma Nunu Kumba - National Assembly Speaker.

BI Sylvie Kinigi Mtusi - PM.

DRC Jeanine Mabunda National Assembly Speaker.

Why not Martha Karua for Kenya this time around?

Raila ondoa mfumo dume Kenya.
 
Natamani Raila ashinde Uchaguzi, Raila ni mvumilivu vua kutosha hivyo hana kibri na madharau kama yaRuto
 
Iko wazi Raila anachukua kijiti
Kalonzo Musyoka atarudi tu kubembeleza ugali Azimio. Ni kivuruge yule. 2013 Raila alimwambia waungane dhidi ya Uhuru akagoma akifikiri Uhuru atampa mfupa (maana pensheni ya U-VP wakati wa PNU) haimtoshi kuendesha chama. Raila akamwambia kwani mshahara wa U-VP ulikuwa unapokea shs ngapi? Akataja, Raila akasema anampa taslimu kwa miaka mitano ili aje Rainbow, akachukuwa mkwanja na kutokomea, sasa hii ni mara ya pili anamsaliti Raila.
 
Ukoo wa Jaramogi Oginga hawana makuu, hawana visasi, wanaogopa damu, wanapiga vita maonevu, wana maslahi ya taifa kwenye nyoyo zao, wana matokeo makubwa, hawana majivuno, hawapendi ukabila, ni Centre-Left-Wingers kwa mrengo wao, wanachukia umasikini, wana faraka/uadui na ufisadi, ni waumini wazuri (wana hofu ya Mungu) wa Anglikana.

Pale Uhuru atastaafu kwa uhakika wa amani yake. Wakikuyu pia wako assured kwamba hakuna malipizi kwao kwa damu za Arwings Kodhek, Tom Mboya, Robert Ouko, Kisumu massacre ya 1969 videos of kisumu massacre 1969 - Bing video .
broo huko deep sana nimeipenda hii na yule mzee anataka kufanya mabadiliko makubwa sana Kenya wakenya wampe kura huyu mzee waachane na mjanja mjanja yule mwingine
 
Ukoo wa Jaramogi Oginga hawana makuu, hawana visasi, wanaogopa damu, wanapiga vita maonevu, wana maslahi ya taifa kwenye nyoyo zao, wana matokeo makubwa, hawana majivuno, hawapendi ukabila, ni Centre-Left-Wingers kwa mrengo wao, wanachukia umasikini, wana faraka/uadui na ufisadi, ni waumini wazuri (wana hofu ya Mungu) wa Anglikana.

Pale Uhuru atastaafu kwa uhakika wa amani yake. Wakikuyu pia wako assured kwamba hakuna malipizi kwao kwa damu za Arwings Kodhek, Tom Mboya, Robert Ouko, Kisumu massacre ya 1969 videos of kisumu massacre 1969 - Bing video .
martha karua na yeye ni mjaluo naomba kujuzwa
 
Back
Top Bottom