Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina tofauti kwa idadi ya miaka, lakini ina tofauti kwa content na objectives ukisoma vizuri hiyo image. Hata wao 233333 inazidi 844 kwa mwaka mmoja tu. Sisi mfumo wetu kwa miaka mingi umekuwa wa kukariri kufaulu mitihani tu.Hii hainatofauti na kwetu jumlisha yote uone
katiba ya Kenya inasemeje Rais akifa madarakani? Ipo kama yetu?Raila atashinda,atakufa baada ya uchaguzi,martha karua kuwa rais,kenya nayo kuwa na rais mwanamke
Jamaa wapo mbali snTayari Raila aliishaanza kureform Kenya ahead of time, kupitia Deep State aliishauri serikali mwaka 2017 (baada ya maridhiano yaliyoasisiwa na Magufuli kati ya Raila na Uhuru PHOTOS: Magufuli Unites Uhuru and Raila - Kenyans.co.ke) waondoe mfumo wa elimu wa 844 na kuzindua CBC (Competency Based Curriculum) ambayo kwa Tz tumei-adopt miaka 3 nyuma lakini hata walimu hawajapewa mafunzo yake kwa kukosa rasilimali fedha na kufanya matokeo kutokuwa mazuri. Hii ya Kenya iko hivi:
Badala ya 844 sasa ni 233333
View attachment 2230481
Ndiyo nini umeandika?Mano rais ma-jaluo mar 8 e dunia mangima. Jaluo ok tuk nyathi.
Kumbe umeoona vizuri mkuu, wapiga kura-za-uchungu za kuleta mabadiliko ni wanawake, hivyo wanawake wote wa Kenya wanatafuta coalition yenye mwanamke ili wapate ukombozi kwa sababu wanawake ndiyo hustlers wazuri kuliko wanaume tena wanawake ndiyo wahanga wa mabalaa yote ya sayari hii kuanzia ukame, njaa, vita, maradhi nk.AZIMIO baada ya kuteua Martha Karua kama Dp wa RAO , tayari nimeanza kupata shaka sana na kama kweli hustlers wataweza kutoboa?
Kabisa, kama Moi alivyoingia ikulu, haikuwahi kubadilishwa ili kukwepa gharama za kurudia uchaguzi na siasa hatari za ukabila.katiba ya Kenya inasemeje Rais akifa madarakani? Ipo kama yetu?
Ni swala la muda tu east Africa tutakuwa na ma Rais wawili wakina mama.Kabisa, kama Moi alivyoingia ikulu, haikuwahi kubadilishwa ili kukwepa gharama za kurudia uchaguzi na siasa hatari za ukabila.
Tunahitaji kupaa kwa spidi ya Hussein Mwinyi kwa akili ya Magufuli. Mengine tutasahihisha baadaye huko kama Ujerumani walivyosahihisha makosa ya Hitler baadaye na kuwa taifa kubwa.Jamaa wapo mbali sn
This time around no assassination in Kenya, after all, AU imesema sasa basi uhaini na mapinduzi. Atayefanya hivyo atatengwa tu.Ni swala la muda tu east Africa tutakuwa na ma Rais wawili wakina mama.
Ngumu kumesaTunahitaji kupaa kwa spidi ya Hussein Mwinyi kwa akili ya Magufuli. Mengine tutasahihisha baadaye huko kama Ujerumani walivyosahihisha makosa ya Hitler baadaye na kuwa taifa kubwa.
Kalonzo Musyoka atarudi tu kubembeleza ugali Azimio. Ni kivuruge yule. 2013 Raila alimwambia waungane dhidi ya Uhuru akagoma akifikiri Uhuru atampa mfupa (maana pensheni ya U-VP wakati wa PNU) haimtoshi kuendesha chama. Raila akamwambia kwani mshahara wa U-VP ulikuwa unapokea shs ngapi? Akataja, Raila akasema anampa taslimu kwa miaka mitano ili aje Rainbow, akachukuwa mkwanja na kutokomea, sasa hii ni mara ya pili anamsaliti Raila.Iko wazi Raila anachukua kijiti
Hitler alianzisha vita ya kuiibia dunia ndipo makosa ya uamuzi wake yakaja kusahihishwa baadaye yeye akiwa hayupo (ali commit suicide na mkewe kwa kuingia kwenye pipa lenye tindikali akidhani hata DNA zao zisipatikane)Ngumu kumesa
Hatari snHitler alianzisha vita ya kuiibia dunia ndipo makosa ya uamuzi wake yakaja kusahihishwa baadaye yeye akiwa hayupo (ali commit suicide na mkewe kwa kuingia kwenye pipa lenye tindikali akidhani hata DNA zao zisipatikane)
broo huko deep sana nimeipenda hii na yule mzee anataka kufanya mabadiliko makubwa sana Kenya wakenya wampe kura huyu mzee waachane na mjanja mjanja yule mwingineUkoo wa Jaramogi Oginga hawana makuu, hawana visasi, wanaogopa damu, wanapiga vita maonevu, wana maslahi ya taifa kwenye nyoyo zao, wana matokeo makubwa, hawana majivuno, hawapendi ukabila, ni Centre-Left-Wingers kwa mrengo wao, wanachukia umasikini, wana faraka/uadui na ufisadi, ni waumini wazuri (wana hofu ya Mungu) wa Anglikana.
Pale Uhuru atastaafu kwa uhakika wa amani yake. Wakikuyu pia wako assured kwamba hakuna malipizi kwao kwa damu za Arwings Kodhek, Tom Mboya, Robert Ouko, Kisumu massacre ya 1969 videos of kisumu massacre 1969 - Bing video .
martha karua na yeye ni mjaluo naomba kujuzwaUkoo wa Jaramogi Oginga hawana makuu, hawana visasi, wanaogopa damu, wanapiga vita maonevu, wana maslahi ya taifa kwenye nyoyo zao, wana matokeo makubwa, hawana majivuno, hawapendi ukabila, ni Centre-Left-Wingers kwa mrengo wao, wanachukia umasikini, wana faraka/uadui na ufisadi, ni waumini wazuri (wana hofu ya Mungu) wa Anglikana.
Pale Uhuru atastaafu kwa uhakika wa amani yake. Wakikuyu pia wako assured kwamba hakuna malipizi kwao kwa damu za Arwings Kodhek, Tom Mboya, Robert Ouko, Kisumu massacre ya 1969 videos of kisumu massacre 1969 - Bing video .