Khadija Mtalame
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 185
- 715
TumiaChanzo rasmi cha taarifa,n kipi, taarifa ya lini, imetolewa wapi?
Hata aliekuzaa alikuwa mbea Kama Mimi Ni mbea,heshimu mama zako, huna adabuHii sio taarifa,ni umbea
Watakuwa ni kipaumbele tu kwenye kupanga foleniWazee wanaohitaji chanjo wameisha ?
Inaweza kupelekea chanjo kuisha kabla ya kufikia lengo la kuwalinda wazee na wengine wenye uhitaji zaidi !Watakuwa ni kipaumbele tu kwenye kupanga foleni
naaunga mkono hoja.Watahangaika Sana ila Samia harudi 2025 Na mawaziri wapigania chanjo akina Mulamula , Gwajima na yeyote wajiandae
Watanzania wengi hatutaki kuwa test tube ya chanjo ya wazungu.
Hahahaha.Me nilisha chanja mbuga kitambo tu.