Pre GE2025 Prof. Mark Mwandosya Makamu wa Raisi November 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katiba sio hoja sana uwadilifu ndugu na umaduni mbovu wa kulindana
 
Biden ana miaka 81 anaongoza taifa kubwa la Marekani, Trump ana 79 anagombea Urais
Mfumo ni uwadilifu ,uwajibikaji, na sio katiba ,kama watu wake hawana uwadilifu ,hiyo katiba ni kakitabu tu. Lazima elimu ya uwadilifu itolewe vzr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…