TANZIA Prof. Mathew Luhanga, aliyekuwa Makamu Mkuu wa UDSM kuanzia 1991 hadi 2006 afariki dunia

TANZIA Prof. Mathew Luhanga, aliyekuwa Makamu Mkuu wa UDSM kuanzia 1991 hadi 2006 afariki dunia

Alikuwa kichwa wakati ule tukiwa pale hill, apumzike pema.
Mlimpa profesa wenu mitihani mkamwona “alikuwa kichwa” ? Mlimshindanisha na nani ?

Siku zote kuna wow factor ya mwalimu kwa mwanafunzi. Wanafunzi wa Prof. Kabudi wanamu admire kama mtume, kaja kwenye jamii akawa a public laughing stock.

hawa kina Luhanga siwezi kuwasifia hata siku moja. Amefanya nini kwenye u rais wake wa chuo ? UDSM ameiacha kama alivyoikuta, such a cesspool.

Kuna ma degree ya chupi, mabweni na ma vyoo ni kama mabanda ya nguruwe pori, ranking ya chuo kwa Afrika is all but rock bottom, plagiarism is off the charts, ma profesa wana disco watu na kuchelewesha masters na PhD zao as if wao ni wakali sana academically wakati hakuna chochote wanachoifanyia nchi, hakuna research za maana, hakuna nothing…

Luhanga hakuwa mwanafunzi, alikuwa Vice Chancellor, alikuwa in charge wa chuo, usinambie alikuwa anajua physics and linguistics, nambie alifanya nini as Vice President.
 
Imesemwa ni makamu mkuu wa chuo cha udsm mstaafu mwenye heshima na ambaye siasa haikuanza kuingizwa ndani wkt huo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Nafikiri kama sikosei nilipouliza swali mleta mada alikuwa hajaipa ufafanuzi wake. Asante sana kwa ufafanuzi ndugu "liwaya"
 
Hajatokea wa kufananishwa nae. Ndio alihakikisha TTCL college Kijitonyama iwe sehemu ya UDSM (akiwa Mwenyekiti wa Bodi TTCL) na ndio hii inaitwa CoICT vijana wanapata maarifa kwa viwango vya kimataifa hapa hapa nchini.

Professor wa kweli alieacha legacy katika Uongozi wa vyuo vikuu.
**Wanataaluma mna mengi ya kuiga kutoka kwa Professor Luhanga. Yaani Kuna viprofesa ukiviangalia havimfikii huyu jamaa hata robo.
Kwa Kuongeza katika Hili pia Ndiye aliyehakikisha TSJ inasimama na UDSM inakuwa na Chuo cha Uandishi wa Habari ambapo kwa Sasa Ni SJMC iko chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
 
Dah mwali wangu huyo. Enzi hizo akiitwa mjivuni. Alikua anawananga sana maprofesa wa kiswahili. Anasema unakua profesa wa lugha ili iweje? Yeye alibobea kwenye telecommunication
 
Mlimpa profesa wenu mitihani mkamwona “alikuwa kichwa” ? Mlimshindanisha na nani ?

Siku zote kuna wow factor ya mwalimu kwa mwanafunzi. Wanafunzi wa Prof. Kabudi wanamu admire kama mtume, kaja kwenye jamii akawa a public laughing stock.

hawa kina Luhanga siwezi kuwasifia hata siku moja. Amefanya nini kwenye u rais wake wa chuo ? UDSM ameiacha kama alivyoikuta, such a cesspool.

Kuna ma degree ya chupi, mabweni na ma vyoo ni kama mabanda ya nguruwe pori, ranking ya chuo kwa Afrika is all but rock bottom, plagiarism is off the charts, ma profesa wana disco watu na kuchelewesha masters na PhD zao as if wao ni wakali sana academically wakati hakuna chochote wanachoifanyia nchi, hakuna research za maana, hakuna nothing…

Luhanga hakuwa mwanafunzi, alikuwa Vice Chancellor, alikuwa in charge wa chuo, usinambie alikuwa anajua physics and linguistics, nambie alifanya nini as Vice President.
Kuna baadhi ya hoja nakubaliana na wewe hasa kuhusu mchango wao kwa taifa na ishu ya kubania shahada za wengine
 
Kwa Kuongeza katika Hili pia Ndiye aliyehakikisha TSJ inasimama na UDSM inakuwa na Chuo cha Uandishi wa Habari ambapo kwa Sasa Ni SJMC iko chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Na hiyo SJMC tangu aichukue imesalia kama zizi la ng'ombe

- Majengo machakavu

- Haina Computer lab inayoeleweka

- Chuo cha Uandishi wa Habari lakini hakina hazina ya vitabu Maktaba unlike SAUT ambao ni moto wa kuotea mbali.

- Hapo SJMC kuna jamaa anatunza eti photo processing lab ya picha za kuchovya kwenye Dark Room

Yaani hiyo SJMC ni aibu...nashangaa hata Dokta Dotto Kuhenga kasoma hapo anashindwa kushawishi UDSM ibadilishe mazingira ya miundombinu hapo SJMC!??....Kuna maana gani kujenga ukuta kuzunguka udsm campus wakati vyuo kama hicho SJMC ni chokest vile.

Hatujazungumzia vyoo vya wanafunzi bado ambavyo havifanyiwi ukarabati
 
Na hiyo SJMC tangu aichukue imesalia kama zizi la ng'ombe

- Majengo machakavu

- Haina Computer lab inayoeleweka

- Chuo cha Uandishi wa Habari lakini hakina hazina ya vitabu Maktaba unlike SAUT ambao ni moto wa kuotea mbali.

- Hapo SJMC kuna jamaa anatunza eti photo processing lab ya picha za kuchovya kwenye Dark Room

Yaani hiyo SJMC ni aibu...nashangaa hata Dokta Dotto Kuhenga kasoma hapo anashindwa kushawishi UDSM ibadilishe mazingira ya miundombinu hapo SJMC!??....Kuna maana gani kujenga ukuta kuzunguka udsm campus wakati vyuo kama hicho SJMC ni chokest vile.

Hatujazungumzia vyoo vya wanafunzi bado ambavyo havifanyiwi ukarabati
Poleni sana
 
Back
Top Bottom