Ni lini JPM aliwaambia kwamba ni High Speed Trail?!Hi nchi Ngumu sanaaa
R.I. P JPM mzalendo wa kweli
Kwani ulitaka wawe na ndimi ngapi?Hongera viongozi wa CCM kwa kuwa na ndimi mbili!...
a.k.a ndoigeeeHii sasa kitaalamu tunaita Chenga ya mwili
Waziri wa Uchukuzi Prof Mbarawa amewataka Wananchi kutochanganya Treni hii ya Tanzania na zile za high speed zenye vichwa vilivyochongoka
Prof Mbarawa amesema picha zinazorushwa mitandaoni na watu wasio na nia njema ni zile za high speed zinazotembea zaidi ya km 200 kwa saa
Za kwetu ni hizi mnazoona tunazipokea na haya ni Mabehewa 14 ya Daraja la tatu( economy) na mwezi February mwakani tutapokea Ya Business class na First class
Mabehewa haya ni kwa ajili ya masafa marefu na yatavutwa na Vichwa vya Umeme lakini yale ya high speed Vichwa vyake vinaunganishwa direct na mabehewa, amesisitiza Mbarawa
Source ITV Habari
Jamani eeh, hata TV si sipo za flat na za chogo!!! Mbona hamelewi nyie watu?Bongo ni chanel ya vichekesho mbinguni .ukifa kwa stress umeamua mwenyewe
Treni yanye pua ndefu na fupi
Treni yenye chogo na kichwa flat
Hapana... tusichanganye mambo!!Tokea mwanzo nilikuwa ninajua hiyo habari ya treni ya umeme ni uongo wa dhahiri. Na tulisema yule baba wa uongo haaminiki. Kwa sasa kinachoendelea ni muendelezo wa ule uongo wa yule mkuu wa uongo aliyeko jehanamu.
Ni kweli..lakini mbona kwenye picha zao za mwanzo hao TRC walituonesha kitu tofauti na tulicholetewa?
Tuendelee kupanda kumbinyiko,hizi zitakuwa speed 80 utaniambiaHapana... tusichanganye mambo!!
Reli kuwa ya umeme haina maana kwamba itatumia high speed trains. Tofauti ya electrified SGR na ile isiyokuwa electrified ni kwamba Train zitakazopita kwenye electrified SGR zitakuwa za kasi zaidi kuliko zile zisizo electrified lakini bado kasi hiyo haitakuwa sawa na high speed train.
Which means, trains zitakazotumia SGR yetu zitakuwa za kasi zaidi kuliko zile za Kenya!!
Makame kasema ukweli, sema tu watu tunajisahaulisha. Mara kadhaa, tangu wakati wa uzinduzi wake ilishasemwa SGR itawezesha trains kutembea kwa speed ya 160KM/HOUR kwa sababu ni electrified.
In contrary, high speed trains ni zile zinazoenda kwa speed ya 250km/hour na kuendelea, na ujenzi wa hizo reli ni very expensive.
Kwa Bongo inawezekana, na ikiwa hivyo basi wasituharibie umeme wetu!!Tuendelee kupanda kumbinyiko,hizi zitakuwa speed 80 utaniambia
Hapa Cameraman alisimama angle mbaya ndiyo maana picha ilitoka vibaya, siyo Aina hii ya treni.View attachment 2427447
Kwahiyo hao walitutapeli?
Profesa naye awe mwangalifu, ataanza kuonekana kama mbabaishaji na kupoteza heshima yake.Waziri wa Uchukuzi Prof Mbarawa amewataka Wananchi kutochanganya Treni hii ya Tanzania na zile za high speed zenye vichwa vilivyochongoka
Prof Mbarawa amesema picha zinazorushwa mitandaoni na watu wasio na nia njema ni zile za high speed zinazotembea zaidi ya km 200 kwa saa
Za kwetu ni hizi mnazoona tunazipokea na haya ni Mabehewa 14 ya Daraja la tatu( economy) na mwezi February mwakani tutapokea Ya Business class na First class
Mabehewa haya ni kwa ajili ya masafa marefu na yatavutwa na Vichwa vya Umeme lakini yale ya high speed Vichwa vyake vinaunganishwa direct na mabehewa, amesisitiza Mbarawa
Source ITV Habari
Lakini TRC wakaona ni bora wawadanganye watu kwa kuweka picha ambazo haziendani na kinachotarajiwa. Hilo wewe huoni kuwa ni tatizo ambalo wamelianzisha wenyewe, tena kwa maksudi kabisa?Hapana... tusichanganye mambo!!
Reli kuwa ya umeme haina maana kwamba itatumia high speed trains. Tofauti ya electrified SGR na ile isiyokuwa electrified ni kwamba Train zitakazopita kwenye electrified SGR zitakuwa za kasi zaidi kuliko zile zisizo electrified lakini bado kasi hiyo haitakuwa sawa na high speed train.
Which means, trains zitakazotumia SGR yetu zitakuwa za kasi zaidi kuliko zile za Kenya!!
Makame kasema ukweli, sema tu watu tunajisahaulisha. Mara kadhaa, tangu wakati wa uzinduzi wake ilishasemwa SGR itawezesha trains kutembea kwa speed ya 160KM/HOUR kwa sababu ni electrified.
In contrary, high speed trains ni zile zinazoenda kwa speed ya 250km/hour na kuendelea, na ujenzi wa hizo reli ni very expensive.
Sisi tumeingia second generation ya train,bado first generation,wandugu mimi nilijua hili litasumbua wengi,nchi haiwezi ruka hatua hata wenzetu walienda step by stepNi kweli..lakini mbona kwenye picha zao za mwanzo hao TRC walituonesha kitu tofauti na tulicholetewa?
[emoji38][emoji38][emoji38]Ni kweli..lakini mbona kwenye picha zao za mwanzo hao TRC walituonesha kitu tofauti na tulicholetewa?