Prof. Mbarawa: Treni hii ya Tanzania siyo high speed train kama zile za vichwa vilivyochongoka, Wananchi eleweni hilo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni Kweli r.i.p magu full ila ndio kipindi chake Sasa ndio walio ingia mikataba hi ya ununuzi na ujenzi
Ni vizuri mkaleta ushihadi wowote wa JPM katika hotuba zake za SGR kuna sehemu alisema hizi ni speed 200Kmh trains? hotuba zake zote alisema max speed 180Kmh na za umeme na ndio hizi, waziri yuko 100% sawa zile bullet za 200Kmh plus ni fupi na kichwa kinashikana na mabehewa. Hizi zetu zinaenda mpaka 180kmh max sasa shida iko wapi? tusilaumu tu mbona hotuba za JPM zipo tu kila mtu anaweza kwenda kusikiliza na kijiridhisha.
 
Hila kwa nchi yetu na ukubwa wake Ni Bora wengejenga vipis vipisi angalau tuende hyo 250 had 320 kwa saa kuliko kujenga 160 kwa saaa na bado haitaleta tija ya kuwai

Haraka za nn na miradi mingi isyo leta tija
Kwa Sasa wameamia kuweka daraja jangwani
 
Subiria vicha sasa
 
Mabehewa haya ni kwa ajili ya masafa marefu na yatavutwa na Vichwa vya Umeme lakini yale ya high speed Vichwa vyake vinaunganishwa direct na mabehewa, amesisitiza Mbarawa
Hivi kutoka Dar es salaam mpaka Morogoro ni masafa Marefu? Huyu waziri si ni Mhandisi? Hayo mabehewa yafanyiwe modification. TEMDO kwa kushirikiana NIT, MUST, TIRDO na UDMS Pamoja na TEMESA watengeneze vichwa mchongoko vya treini na hayo mabehewa wayaunganishe kwa mbinu ya magari ya UDART yaani mwendo kasi ili tupate treini inayosafiri kwa spidi kubwa.

Uwezo tunao na hatutaki kusikua nia imewekwa rehani.
 
Naomba kueleishwa hii ya kwetu kwa maelezo hayo ina tofauti na ile ya Kenya kwa kasi?
Yakwetu na ya Kwnya hazitofautiani mabehewa sawa tu, tungeleta zile za kisasa tunge wapiga bao wa Kenya na tunge heshimika Afrika kwa kumiliki treni za kisasa.
 
Tatizo ni hao TRC kuweka picha za High speed train wakati wanajua sio kweli
Kwani hizo High speed bei zake ni shilingi ngapi tujue je Serikali haiwezi kununua, mfano ndege alizonunua Magufuli haziwe kufikia au kukaribia gharama za Treni za High speed kweli?
 
Hiv kwel SGR lengo kuu ni kusafirisha abiria? Duh
 
Jiwe alishawaingiza watu Chaka 😁😁😁.

Itakuwa tuu na speed Kama Tazara
 
Tokea mwanzo nilikuwa ninajua hiyo habari ya treni ya umeme ni uongo wa dhahiri. Na tulisema yule baba wa uongo haaminiki. Kwa sasa kinachoendelea ni muendelezo wa ule uongo wa yule mkuu wa uongo aliyeko jehanamu.
Treni za kisasa haziwezi kuja bongo kwasasa niliona treni za china jinsi zinavyo ongozwa wao na chumba cha kuingoza treni kina wataalamu wengi sana computer nyingi ili kulinda mifumo ya treni na kugundua tatizo, Sasa sisi sikusikia wala kuona. TRC wakijenga control room yaku ongoza treni ya kisasa, yani hii treni yetu mifumo yake ni ileile yaki zamani
 
Kwani hizo High speed bei zake ni shilingi ngapi tujue je Serikali haiwezi kununua, mfano ndege alizonunua Magufuli haziwe kufikia au kukaribia gharama za Treni za High speed kweli?
Ikiwezekana tuuze ndege moja tununue treini ya mwendokasi kama Kuna uwezekano huo. Si nindege za serikali hizo? Shida ipo wapi?
 
Nimemuelewa Mbarawa,wametumia busara,sasa wakileta treni za mwendokasi watatumia umeme gani?
Huu umeme Maharage na Kipara hautabiriki!!
 
Aliyewaingiza hizo Chaka Ni Nani Kama sio huyo huyo Mwendazake na alivyokuwaga liongo ndio meza Sasa matamshi yake..

Kwani hata pale Tazara au Ubungo ramani za flyovers zilizooneshwa Hadi kuvunjwa majengo ndio zilijengwa?

Tofauti ya Mwendazake na Sasa Ni kwamba wa Sasa wanaongea ukweli vs kujifukiza kwa Moshi 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…