Prof. Mbarawa: Treni za SGR ni za mwendo wa kawaida (siyo mwendokasi)

😆😆😆😆😆😆
 
sasa wewe ulitarajia mto rufiji ukitema maji yaende wapi? bwawa lina uwezo wake wa kuhifadhi maji, yanayozidi lazima yaachiwe yaende mbele. Hapo uhujumu uko wapi?

Hizo 'impacts' zilitakiwa ziwe zimetengenezewa mpango wake mapema kabla ya kuanza ujenzi, na pia watu walitakiwa wawe wamehamishwa downstream (yaani iwepo resettlement plan), yote hayo yawe yamefikiriwa utekelezaji wake kabla ya kuanza ujenzi wa hilo bwawa. Umewahi kusikia 'Environmental and Social Impact Assessment' ya mradi?

Ndiyo hayo sasa wacheni kulaumu kila kitu na ati kudai katiba mpya, hiyo katiba mpya itafanya nini?
 
Nimecheka kwa nguvu vibaya sana, treni sio ya mwendokasi, ila gharama za ujenzi ni za treni ya mwendokasi!
Mbongo kupigwa kawaida yetu, mbongo wenzetu atupige,hapo bado mdhungu😁
 
Teh! Wewe ndiye hukuelewa toka mwanzo. Kilichokuwa kinajengwa ni standard gauge railroad (SGR) na sio high speed railroad (HSR) ! Mjifunze ku-read between the lines kauli za wanasiasa.
Sahihi
Kweli ni SGR sio high speed
 
Jamaa wameshapiga pesa wanakuja kivingine
 
Ata ivyo wabongo ndo tunamakosa tunashindwa kutofautisha treni ya umeme na treni ya mwendo kasi
Treni yetu ni treni ya umeme inatumia umeme badala ya mafuta au makaa ya mawe
 
Wabongo wanataka mjusi bado hatujafika level hizo tunaenda taratibu
 
Mkuu unatembea na IST toka Dar mpaka Dodoma na unafika masaa matatu???
Embu kuwa serious kaka ni 440+km zile.
IST top speed ni 180kmph.
Aya niambie na foleni za road unafikaje kwa masaa matatu???
 
Mbarawa kasema top speed ya treni yake ni 160 kmh. Sasa kama top speed ya IST ni 180 kmph ipi Ina speed zaidi?
Kumbuka reli haikai foleni na hakuna traffic jam.
UNATAKA KUNAMBIA UNAWEZA UKA MAINTAIN SPEED YA IST YA 180KMPH MPK UNAFIKA DODOMA???
Kuwa serious mkuu.
 
Hielewi unachokisoma au ni upoyoyo tu?

Kishasema hii yetu siyo treni ya mwendo kasi "not high speed train".

Kuwa na SGR hakumaanishi treni ya mwendo kasi.
 
Kumbuka reli haikai foleni na hakuna traffic jam.
UNATAKA KUNAMBIA UNAWEZA UKA MAINTAIN SPEED YA IST YA 180KMPH MPK UNAFIKA DODOMA???
Kuwa serious mkuu.
Unaanza safari saa 9 usiku barabara ikiwa haina vurugu, by 12 asubuhi ushaiona Chalinze ya Dodoma
 
Hivi kutoka 40 km/hr Hadi 160 km/hr siyo mwendo kasi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…