Prof. Mbarawa: Treni za SGR ni za mwendo wa kawaida (siyo mwendokasi)

Jana nimebahatika kuiona ikikatisha mitaa ya shaurimoyo kwa speed ile mi natangulia kufika Moro nikiwa na baiskeli yangu..
 
Mambo haya..🥴🥴🥴🥴😏😏
 
Bado ni nafuu sana kutumia masaa 3 kwasababu Dar - Dodoma kwa Bus ni masaa 9 kwahiyo kuna unafuu sana
Hawa kenge hawalioni hili kabisa kama kuna unafuu...wao wako negative tu. Wapande IST zao tu afu watumie saa 1 kufika Dodoma ili waridhike
 
Jana nimebahatika kuiona ikikatisha mitaa ya shaurimoyo kwa speed ile mi natangulia kufika Moro nikiwa na baiskeli yangu..
Haulazimishwi kuipanda mkuu...wewe tembea tu na baiskeli yako Bob au jog kwa miguu tu mkuu
 
Bongo bhana na mabasi ya mwendo kasi hili jina libadilishwe mwendokasi gani mwisho 60km/h!
 
Hakuna nchi Afrika yenye uwezo wa kumiliki high speed train.
Hizi ni medium speed na sio high
 
Wamewanyima wananchi wa Dar Haki ya kukutana kwa kuwatenganishia uzio wa sengenge pasipo sababu utadhani treni itapita Kila baada ya dakika tatu
 
Tafsiri ya uwekezaji huo mkubwa imebebwa na dhana ya mwendo kasi ili kuokoa muda na kuchochea ukuaji kwa uchumi
Na hili ndio ilikuwa vision and mission ya huo mradi, na sio haya tunayosikia sasa hivi. Kweli hii nchi bila mabadiriko ya kichama, watu wapya kuunda serikali maendeleo ya kweli tutabaki kuyasikia kwa majirani tu miaka nenda rudi.
 
Shida ni kwamba hatupendi kutumia PPP kutoka private sector. Kila kitu ni cash wakati miradi ya PPP mwekezaji atajenga na kurudisha pesa yake hata ikiwa miaka 20, 30 n.k
 
Ndio Mana wenye mabus wananunua kila siku mnk walisha nuza kuwa gari Moshi hyo hataweza kukimbizana. Na mabus
 
Na ndio maaan matajiri wanazid kuzinunua mabus ya safari ndefu walisha nuza harufu za kitapeli
 
About na shabby na wote waliopo bungeni hawaendi kwakuwa wanaumi?wa na shida za watu wao. Hili ndilo linawapeleka bungeni sasa
 
Hiv kutoka Huko DAR kwenu mpaka Moro Kuna vituo vingapi wakuu?
Na kama vituo ni vingi sana kwa spidi hii inatosha
Lakini kama hakuna kituo hapo katikati aaaah ni ndogo sana hiyo spidi
 
Hiv kutoka Huko DAR kwenu mpaka Moro Kuna vituo vingapi wakuu?
Na kama vituo ni vingi sana kwa spidi hii inatosha
Lakini kama hakuna kituo hapo katikati aaaah ni ndogo sana hiyo spidi
Shirika la reli limeandika kuwa umbali kutoka DAR mpk Moro ni km 300 na speed ya treni ni 160 kmph. Kimahesabu ni kwamba treni hiyo itatumia saa 1 na dk 52 (~2 hrs), ukiongeza na saa 1 la kuisimamia na kupakia unapata masaa 3. Huu ni muda sawa na wa mabasi.
 
Aisee!
 

Hiyo ni sawa wawe na tran mbili moja direct ambayo haisimi na ile insyosimama kula kituo ambayo itatumia dakika 192.
 

Tazara Ina high speed ya 110km/h shida locomotives zilizopo zipo na low speed chini ya wachina inaenda kutendewa haki 👇👇👇👇Rail gauge and standardsedit

The TAZARA has a track gauge of 3 ft 6 in (1,067 mm), also known as the Cape gauge, which is widely used throughout southern Africa.[15] TAZARA connects to the Cape-gauge Zambia Railways at Kapiri Mposhi. The remainder of Tanzania’s railways have 1,000 mm (3 ft 3+3⁄8 in) metre gauge tracks.[16] A transshipment station with a break of gauge station was built in Kidatu in 1998.[16]

Except for the rail gauge, TAZARA generally reflects Chinese railway standards of the 1970s. The technical characteristics of the line were:

  1. Couplers: Janney (AAR)[17]
  2. Brakes: Air/vacuum[18]
  3. Axle loading: 20 metric tons[18]
  4. Sleepers: Concrete on main line, Wood at turnouts and on bridges[18]
  5. Rail: High-manganese steel, 45 kg/m (90 lb/yard), mostly jointed[19]
  6. Signals: Semaphore
  7. Design speed: 110 km/h (70 mph)[20]
  8. Design capacity: 5 million metric tons per year[5]
  9. Loading gauge: Limited by 22 tunnels in the Udzungwa Mountains
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…