Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Inasikitisha kuona chuo kikuu kama open unniversity of dar es salaam ati wanafunga website ambayo wanafunzi wanapata msaada kujua taarifa zinazojiri kuhusu matokeo pamoja na mambo mengineyo..nimeongea haya kutokana na mambo mengi yaliotokea hapa karibuni..inashangaz kukuta sasa ni mwezi ukifungua sehemu ya matokeo ya wanafunzi unakutana na hivi vioja
The Open University of Tanzania
Student Academic Register Information System - (SARIS)
Dear All SARIS Users
Kindly, be informed that because of some technical issues being carried out, SARIS will be offline for a while. We regret for any inconveniences.
The Open University of Tanzania
Naomba niweke wazi wanza wanatakiwa wawe wawazi kuwaelimisha wanafunzi nini kinaendelea kuhusu mtandao wanaoutegemea;ndugu zanguni tuko mwaka wa pili sasa tunateseka sana kupata matokeo yetu..nikiongea hivi naamaanisha..unakuta tunafanya mtihani unapewa na matokeo yako ya assignments siku ya siku unakuta hayapo kwenye mtandao ambao wao ndio wanayaamini...tumeteseka sana mbwete tumeomba sana tatizo la mitihani yetu liwe serious kuna watu ambao wameshindwa kugraduate si kwamba awajafanya mitihani jamani wamefanya lakini matokeo ya annual exams hayaonekani..ukimuuliza mwalimu anasema kwani ujui nexty subiri urudie...haya ni majibu machafu ambayo ayapaswi kupewa mtu anaesoma chuo kikuu...
GRADUATION
Ndugu Prof mbwette najua unakiweza hiki chuo kama uliweza pale udsm sidhani hiki nini nini!!tuliwasindikiza wenzetu pale kibaha bungo hakika mazingira si tu hayakuwa mazuri bali nahisi kuna katabia cha UFISADI Kametendeka..aiwezekani wanafunzi wenzetu mkawajaza sehemu moja kama kuku kisa mkiogopa kutumika maturubai mengi..huu uhuni usionekane tena kwenye gradu zetu ama za wenzetu..lazima tuwaheshimu kuna wengine wazee kule walishindwa hata kupumua mtu anapigiwa na nduguyake mmeanza kuitwa ndio anarudi kwenye kiti..wengine walikuwa na mimba walikaribia kuzaa..tujaribu kuliona hili na kuheshimu uhai wa mtu....
VYAKULA
Hakika ukiwa kama BABA yetu sikufichi wale mliowapa tenda ambao ndio wale wanaopika pale UDSM sijui ni tenda ya prof ....ama ala atuitaji kujua ila si siri mzazi walichemka;kwanza kwa pesa waliokuwa wanachaji ni uhuni mtupu...ukilinganisha na stanadard ya vyakula vilivyokuwa vikiuzwa....pilau haina nyama..imejaa mifuta wengine wenye pressure awakula kabisa...
Maji kwa kweli walijitahidi ila atukupenda swala la maji ya miatatu kutuuzia 500 KISA tu tuko KIBAHA..mungu aepushie mbali kwa kweli
The Open University of Tanzania
Student Academic Register Information System - (SARIS)
Dear All SARIS Users
Kindly, be informed that because of some technical issues being carried out, SARIS will be offline for a while. We regret for any inconveniences.
The Open University of Tanzania
Naomba niweke wazi wanza wanatakiwa wawe wawazi kuwaelimisha wanafunzi nini kinaendelea kuhusu mtandao wanaoutegemea;ndugu zanguni tuko mwaka wa pili sasa tunateseka sana kupata matokeo yetu..nikiongea hivi naamaanisha..unakuta tunafanya mtihani unapewa na matokeo yako ya assignments siku ya siku unakuta hayapo kwenye mtandao ambao wao ndio wanayaamini...tumeteseka sana mbwete tumeomba sana tatizo la mitihani yetu liwe serious kuna watu ambao wameshindwa kugraduate si kwamba awajafanya mitihani jamani wamefanya lakini matokeo ya annual exams hayaonekani..ukimuuliza mwalimu anasema kwani ujui nexty subiri urudie...haya ni majibu machafu ambayo ayapaswi kupewa mtu anaesoma chuo kikuu...
GRADUATION
Ndugu Prof mbwette najua unakiweza hiki chuo kama uliweza pale udsm sidhani hiki nini nini!!tuliwasindikiza wenzetu pale kibaha bungo hakika mazingira si tu hayakuwa mazuri bali nahisi kuna katabia cha UFISADI Kametendeka..aiwezekani wanafunzi wenzetu mkawajaza sehemu moja kama kuku kisa mkiogopa kutumika maturubai mengi..huu uhuni usionekane tena kwenye gradu zetu ama za wenzetu..lazima tuwaheshimu kuna wengine wazee kule walishindwa hata kupumua mtu anapigiwa na nduguyake mmeanza kuitwa ndio anarudi kwenye kiti..wengine walikuwa na mimba walikaribia kuzaa..tujaribu kuliona hili na kuheshimu uhai wa mtu....
VYAKULA
Hakika ukiwa kama BABA yetu sikufichi wale mliowapa tenda ambao ndio wale wanaopika pale UDSM sijui ni tenda ya prof ....ama ala atuitaji kujua ila si siri mzazi walichemka;kwanza kwa pesa waliokuwa wanachaji ni uhuni mtupu...ukilinganisha na stanadard ya vyakula vilivyokuwa vikiuzwa....pilau haina nyama..imejaa mifuta wengine wenye pressure awakula kabisa...
Maji kwa kweli walijitahidi ila atukupenda swala la maji ya miatatu kutuuzia 500 KISA tu tuko KIBAHA..mungu aepushie mbali kwa kweli