Prof. Mkenda akiri msingi dhaifu wa Kiingereza chanzo cha wengi kufeli

Hivi hatuwezi copy paste curriculum ya US au China kuanzia kindergarten mpaka high school?
 
Tuje kwenye hisabati huko ndio funga kazi, ni ubabaishaji mtupu kwenye ufundishaji. Shule nzima unaweza kuta haina mwalimu wa hisabati, wanaishia kufundisha darasa la nne, huko la tano, sita na saba hawapandi na wakipanda watachagua mada nyepesi kubabaisha wanafunzi. Sasa kama mwalimu alipata F atafundisha nini wanafunzi?
 
Watanzania tu na Kingereza wapi na wapi?
 
Hivi hatuwezi copy paste curriculum ya US au China kuanzia kindergarten mpaka high school?
Kwa hela zipi mlizokuwa nazo ? Ile inahitaji Gharama sana... Kama china hata watu wanaogopa kuwa na wstoto wengi maana ni gharama sana. Huku kwetu tuna jizaliana tuu hatuna ustarabu hata eti Elimu bure
 
Walimu wenyewe hawajui kiingereza, wanafunzi watajuaje?
 
Watoto wanaishi mitaani manazao wanauza ulanzi kuaxia asb hadi majogoo

Uwawa lazima igome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…