Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Kuwa waziri Tanzania ni rahisi sana. La msingi kwa sasa uwe na majibu mawili kwa kila tatizo.That is NONSENSE🐒
Ni mipango ya Mungu, na ni kutokana na bei kupanda kwenye soko la dunia.
Basi, unaendelea kula maisha ukipewa first class treatment ya uwaziri kwa maneno hayo mawili