Prof. Mkenda: Kuna matatizo ya Kiufundi, Mtaala mpya wa Kidato cha 5 utaanza Mwaka 2025, kutakuwa na masomo mawili mapya kwa Wanafunzi wote

Prof. Mkenda: Kuna matatizo ya Kiufundi, Mtaala mpya wa Kidato cha 5 utaanza Mwaka 2025, kutakuwa na masomo mawili mapya kwa Wanafunzi wote

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema Wizara wakati Mamlaka zikijiandaa kwa ajili ya utekelezaji wa Mtaala mpya ngazi ya Kidato cha Kwanza kuna tatizo la kiufundi limetokea na hivyo Mtaala huo unatarajiwa kuanza 2025.

Licha ya kutofafanua ttizo hilo, Waziri amesema tayari Elimu ya Awali, Darasa la Kwanza na la Tatu wanaendelea na Mtaala mpya, Darasa la Pili wanaendelea na Mtaala wa Zamani, Wanaosomea Ualimu pia wanasomea Mtaala mpya.

Snapinsta.app_454373188_1040239300308339_2957231459861929583_n_1080.jpg

Snapinsta.app_454417003_3373957399572504_8503219497992072588_n_1080.jpg
Wakati huohuo, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, Naibu Waziri Omari Kipanga, Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Naibu Katibu Dkt. Franklin Rwezamula wamekutana na Menejimenti ya Wizara, Viongozi wa Taasisi na Makamu wakuu wa Vyuo Vikuu kujadili utekelezaji wa vipaumbele pamoja na utekelezaji wa Sera na Mitaala mpya.

Akizungumza katika kikao hicho Prof. Mkenda amesema kuwa wizara ipo katika mchakato wa kuunganisha mifumo ya elimu iweze kuongea kwa pamoja

Waziri huyo ameongeza kuwa lengo ni kuona mifumo hiyo inawezesha kumfuatilia mwanafunzi kuanzia anapoanza elimu ya awali mpaka anapofika elimu ya juu na hata kama atakuwa amekwenda katika mfumo mwingine wa elimu ambapo kwa sasa ni ngumu kufata taarifa sahihi za wanafunzi katika ngazi mbalimbali.

"Kwa kweli kuna umuhimu wa kuwa na mifumo inayosomana na kuzungumza pamoja hii itatuwezesha kupata takwimu sahihi za wanafunzi ili tujue walipo wanafunzi hata kama watakwenda kwenye mfumo wa Cambridge," amesema Waziri

Aidha, Prof. Mkenda amesema ni Muhimu kwa Vyuo Vikuu vinavyojenga kampasi mpya katika mikoa mbalimbali kuwa na programu za kutoa shahada za amali badala ya kutoa taaluma ambazo tayari zipo katika vyuo hivyo.
Snapinsta.app_454262658_814704620645657_7851568913900586892_n_1080.jpg
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema kuwa kikao hicho kinalenga kufanya tafakari ya masuala mbalimbali na vipaumbele ambavyo wizara imejipangia na namna inavyotekelezwa ili kuhakikisha mageuzi ya elimu yanatekelezwa ipasavyo.
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, Naibu Waziri Omari Kipanga, Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Naibu Katibu Dkt. Franklin Rwezamula wamekutana na Menejimenti ya Wizara, Viongozi wa Taasisi na Makamu wakuu wa Vyuo Vikuu kujadili utekelezaji wa vipaumbele pamoja na utekelezaji wa Sera na Mitaala mpya.

Akizungumza katika kikao hicho Prof. Mkenda amesema kuwa wizara ipo katika mchakato wa kuunganisha mifumo ya elimu iweze kuongea kwa pamoja

Waziri huyo ameongeza kuwa lengo ni kuona mifumo hiyo inawezesha kumfuatilia mwanafunzi kuanzia anapoanza elimu ya awali mpaka anapofika elimu ya juu na hata kama atakuwa amekwenda katika mfumo mwingine wa elimu ambapo kwa sasa ni ngumu kufata taarifa sahihi za wanafunzi katika ngazi mbalimbali.

"Kwa kweli kuna umuhimu wa kuwa na mifumo inayosomana na kuzungumza pamoja hii itatuwezesha kupata takwimu sahihi za wanafunzi ili tujue walipo wanafunzi hata kama watakwenda kwenye mfumo wa Cambridge," amesema Waziri

Aidha, Prof. Mkenda amesema ni Muhimu kwa Vyuo Vikuu vinavyojenga kampasi mpya katika mikoa mbalimbali kuwa na programu za kutoa shahada za amali badala ya kutoa taaluma ambazo tayari zipo katika vyuo hivyo.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema kuwa kikao hicho kinalenga kufanya tafakari ya masuala mbalimbali na vipaumbele ambavyo wizara imejipangia na namna inavyotekelezwa ili kuhakikisha mageuzi ya elimu yanatekelezwa ipasavyo.
Mitaala ya Tanzania kila awamu na kuja na jambo jipya hamba muendelezo kwanini?
 
Somo la "media competence" yaani uwezo na uelewa matumizi sahihi ya uhabarishaji ikiwapo mitandao na maudhui na maadili yake ni muhimu sana kipindi hiki cha utandawazi. Pia lugha ya Kiingerzaa na lugha nyinginezo itaiwezesha Tanzania kushiriki biashara kimataifa.
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, Naibu Waziri Omari Kipanga, Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Naibu Katibu Dkt. Franklin Rwezamula wamekutana na Menejimenti ya Wizara, Viongozi wa Taasisi na Makamu wakuu wa Vyuo Vikuu kujadili utekelezaji wa vipaumbele pamoja na utekelezaji wa Sera na Mitaala mpya.

Akizungumza katika kikao hicho Prof. Mkenda amesema kuwa wizara ipo katika mchakato wa kuunganisha mifumo ya elimu iweze kuongea kwa pamoja

Waziri huyo ameongeza kuwa lengo ni kuona mifumo hiyo inawezesha kumfuatilia mwanafunzi kuanzia anapoanza elimu ya awali mpaka anapofika elimu ya juu na hata kama atakuwa amekwenda katika mfumo mwingine wa elimu ambapo kwa sasa ni ngumu kufata taarifa sahihi za wanafunzi katika ngazi mbalimbali.

"Kwa kweli kuna umuhimu wa kuwa na mifumo inayosomana na kuzungumza pamoja hii itatuwezesha kupata takwimu sahihi za wanafunzi ili tujue walipo wanafunzi hata kama watakwenda kwenye mfumo wa Cambridge," amesema Waziri

Aidha, Prof. Mkenda amesema ni Muhimu kwa Vyuo Vikuu vinavyojenga kampasi mpya katika mikoa mbalimbali kuwa na programu za kutoa shahada za amali badala ya kutoa taaluma ambazo tayari zipo katika vyuo hivyo.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema kuwa kikao hicho kinalenga kufanya tafakari ya masuala mbalimbali na vipaumbele ambavyo wizara imejipangia na namna inavyotekelezwa ili kuhakikisha mageuzi ya elimu yanatekelezwa ipasavyo.
Nanukuu... kutakuwa na masomo mawili mapya kwa Wanafunzi wote... Mwisho wa kunukuu..!!

Hayo masomo mawili mapya ni yepi?
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, Naibu Waziri Omari Kipanga, Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Naibu Katibu Dkt. Franklin Rwezamula wamekutana na Menejimenti ya Wizara, Viongozi wa Taasisi na Makamu wakuu wa Vyuo Vikuu kujadili utekelezaji wa vipaumbele pamoja na utekelezaji wa Sera na Mitaala mpya.

Akizungumza katika kikao hicho Prof. Mkenda amesema kuwa wizara ipo katika mchakato wa kuunganisha mifumo ya elimu iweze kuongea kwa pamoja

Waziri huyo ameongeza kuwa lengo ni kuona mifumo hiyo inawezesha kumfuatilia mwanafunzi kuanzia anapoanza elimu ya awali mpaka anapofika elimu ya juu na hata kama atakuwa amekwenda katika mfumo mwingine wa elimu ambapo kwa sasa ni ngumu kufata taarifa sahihi za wanafunzi katika ngazi mbalimbali.

"Kwa kweli kuna umuhimu wa kuwa na mifumo inayosomana na kuzungumza pamoja hii itatuwezesha kupata takwimu sahihi za wanafunzi ili tujue walipo wanafunzi hata kama watakwenda kwenye mfumo wa Cambridge," amesema Waziri

Aidha, Prof. Mkenda amesema ni Muhimu kwa Vyuo Vikuu vinavyojenga kampasi mpya katika mikoa mbalimbali kuwa na programu za kutoa shahada za amali badala ya kutoa taaluma ambazo tayari zipo katika vyuo hivyo.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema kuwa kikao hicho kinalenga kufanya tafakari ya masuala mbalimbali na vipaumbele ambavyo wizara imejipangia na namna inavyotekelezwa ili kuhakikisha mageuzi ya elimu yanatekelezwa ipasavyo.
Kwanini wameanzisha Advanced Secondary Schools ndani ya vyuo vya ualimu?
Si bora vyuo hivyo vibadilishwe na kuwa Advanced Secondary schools badala ya mnavyofanya?
 
Kipekee nipende kumpongeza prof. Mkenda Kwa namna anavoitendea vema Wizara ya Elimu, lakini pia kwa kutengeneza mtaala mpya wa elimu.

Mathalani na pongezi hizo nipende kutoa ushahuri kwamba kama ikiwapendeze masomo ya STEM, Digital na ICT pamoja na Agriculture yangekuwa ya lazima kusoma kulingana na ukuaji wa Teknolojia pamoja na upungufu wa nafasi za ajira. Hii itaondoa upungufu mkubwa wa madaktari pamoja na vijana ambao hawana ajira. Mwisho kabisa vijana watakuwa wabunifu na kuongeza Pato la taifa kutokana na bunifu zao
 
Ulikuwa wapi kutoa tamko kabla? Mmechapisga syllabus, vitabu then mkavitawanya... Mmeanzisha komb mpya mkapekeka wanafunzi.. Mmeanzisha masomo Mapya yakaanza kufundishwa...then Leo unakuja na hii pumba ati mpka mwakan

Wanafnz am so mliwachagua kwa Kombo mpya mnawahamishia Kombo zingine na su kuwa Hamisha shule kimya kimya..

Hii wizara ovyo kabisa
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema Wizara wakati Mamlaka zikijiandaa kwa ajili ya utekelezaji wa Mtaala mpya ngazi ya Kidato cha Kwanza kuna tatizo la kiufundi limetokea na hivyo Mtaala huo unatarajiwa kuanza 2025.

Licha ya kutofafanua ttizo hilo, Waziri amesema tayari Elimu ya Awali, Darasa la Kwanza na la Tatu wanaendelea na Mtaala mpya, Darasa la Pili wanaendelea na Mtaala wa Zamani, Wanaosomea Ualimu pia wanasomea Mtaala mpya.

Wakati huohuo, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, Naibu Waziri Omari Kipanga, Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Naibu Katibu Dkt. Franklin Rwezamula wamekutana na Menejimenti ya Wizara, Viongozi wa Taasisi na Makamu wakuu wa Vyuo Vikuu kujadili utekelezaji wa vipaumbele pamoja na utekelezaji wa Sera na Mitaala mpya.

Akizungumza katika kikao hicho Prof. Mkenda amesema kuwa wizara ipo katika mchakato wa kuunganisha mifumo ya elimu iweze kuongea kwa pamoja

Waziri huyo ameongeza kuwa lengo ni kuona mifumo hiyo inawezesha kumfuatilia mwanafunzi kuanzia anapoanza elimu ya awali mpaka anapofika elimu ya juu na hata kama atakuwa amekwenda katika mfumo mwingine wa elimu ambapo kwa sasa ni ngumu kufata taarifa sahihi za wanafunzi katika ngazi mbalimbali.

"Kwa kweli kuna umuhimu wa kuwa na mifumo inayosomana na kuzungumza pamoja hii itatuwezesha kupata takwimu sahihi za wanafunzi ili tujue walipo wanafunzi hata kama watakwenda kwenye mfumo wa Cambridge," amesema Waziri

Aidha, Prof. Mkenda amesema ni Muhimu kwa Vyuo Vikuu vinavyojenga kampasi mpya katika mikoa mbalimbali kuwa na programu za kutoa shahada za amali badala ya kutoa taaluma ambazo tayari zipo katika vyuo hivyo.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema kuwa kikao hicho kinalenga kufanya tafakari ya masuala mbalimbali na vipaumbele ambavyo wizara imejipangia na namna inavyotekelezwa ili kuhakikisha mageuzi ya elimu yanatekelezwa ipasavyo.
Ulikuwa wapi kutoa tamko kabla? Mmechapisga syllabus, vitabu then mkavitawanya... Mmeanzisha komb mpya mkapekeka wanafunzi.. Mmeanzisha masomo Mapya yakaanza kufundishwa...then Leo unakuja na hii pumba ati mpka mwakan

Wanafnz am so mliwachagua kwa Kombo mpya mnawahamishia Kombo zingine na su kuwa Hamisha shule kimya kimya..

Hii wizara ovyo kabisa
Ukitaka kuua Taifa lolote lile, kwanza Ua Mfumo wake wa Elimu, automatically Taifa hilo litakuwa limekufa instantly.
Kwa Tanzania ndipo tilipofikia.
 
Back
Top Bottom