DOKEZO Prof. Mkenda, Tambua wanasemina walimu wa sayansi waliopo Butimba TTC tokea Tabora hawajalipwa siku ya nne hii

DOKEZO Prof. Mkenda, Tambua wanasemina walimu wa sayansi waliopo Butimba TTC tokea Tabora hawajalipwa siku ya nne hii

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

A HUMBLE LEADER

Senior Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
138
Reaction score
343
Mheshimiwa

Wizara yako itambue wanasemina hao wa sayansi kutokea Tabora wanalishwa milo miwili kwa siku yaani asubuhi na mchana pekee, pia wanajitegemea kulala kwa kulipia gesti Hadi Sasa Lakini cha ajabu HII NI SIKU YA NNE TANGU JUMATATU HAWAJALIPWA CHOCHOTE NA HALI ZAO NI MBAYA SANA!

Taarifa za kuaminika ni kuwa baadhi yao wameanza kuomba hifadhi ya kulala kwa wanachuo kwa kukosa Fedha za kulipia VYUMBA pia wanalia hawapati chakula cha jioni!!!

Nimatumaini yangu kuwa mradi huu wa sequip una fadhiliwa na wahisani kwa fedha za kutosha sana,IWEJE Walimu hao wasilipwe fedha zao za semina!!?

Hivi hao Walimu wanaelewa kweli hicho wanachoseminishwa kwa njaa na malazi yasiyoeleweka!!?

Naamini wizara YAKO ya elimu ipo macho na itatenda kwa ajili ya udhalilishaji huu kwa watumishi wa umma ambao ni kioo cha jamii wanaodhalilishwa hapo mwanza!!

Mungu ibariki Tanzania, Mungu awape wepesi Walimu hao wanaodhalilishwa dhalili!
 
Kwa hiyo hili ball ashughulikie Wazari, issue ndogo kama hiyo jamani. Tuweni serious kidogo basi-hapo mna viongozi wanaohusu maswala ya Elimu kuanzia ngazi ya Kata hadi Mkoa. Kuna maana gani sasa ya ugatuzi wa madaraka kama Waziri anatakiwa afatilie hadi malipo ya posho
 
Mheshimiwa

Wizara yako itambue wanasemina hao wa sayansi kutokea Tabora wanalishwa milo miwili kwa siku yaani asubuhi na mchana pekee,pia wanajitegemea kulala kwa kulipia gesti Hadi Sasa Lakini cha ajabu HII NI SIKU YA NNE TANGU JUMATATU HAWAJALIPWA CHOCHOTE NA HALI ZAO NI MBAYA SANA!

Taarifa za kuaminika ni kuwa baadhi yao wameanza kuomba hifadhi ya kulala kwa wanachuo kwa kukosa Fedha za kulipia VYUMBA pia wanalia hawapati chakula cha jioni!!!

Nimatumaini yangu kuwa mradi huu wa sequip una fadhiliwa na wahisani kwa fedha za kutosha sana,IWEJE Walimu hao wasilipwe fedha zao za semina!!?

Hivi hao Walimu wanaelewa kweli hicho wanachoseminishwa kwa njaa na malazi yasiyoeleweka!!?

Naamini wizara YAKO ya elimu ipo macho na itatenda kwa ajili ya udhalilishaji huu kwa watumishi wa umma ambao ni kioo cha jamii wanaodhalilishwa hapo mwanza!!

Mungu ibariki Tanzania, Mungu awape wepesi Walimu hao wanaodhalilishwa dhalili!
Walimu ni wajinga sana, mgeweza kutumia umoja wenu mkatoboa
 
Kwa hiyo hili ball ashughulikie Wazari,issue ndogo kama hiyo jamani.tuweni serious kidogo basi-hapo mna viongozi wanaohusu maswala ya Elimu kuanzia ngazi ya Kata hadi Mkoa.Kuna maana gani sasa ya ugatuzi wa madaraka kama Waziri anatakiwa afatilie hadi malipo ya posho
Tatizo mifumo imeoza mkuu
 
Walimu tena hao na mlalamiko Yao!!

Tukumbuke muasisi wa Taifa Hili ni mwalimu na marais watatu Kati ya sita waliopita ni Walimu pia!

Hii ina maana uwezekano wa kuwa na Rais mwalimu ni mkubwa kuliko kada nyinginezo ni mkubwa Sana!!
 
Mheshimiwa

Wizara yako itambue wanasemina hao wa sayansi kutokea Tabora wanalishwa milo miwili kwa siku yaani asubuhi na mchana pekee,pia wanajitegemea kulala kwa kulipia gesti Hadi Sasa Lakini cha ajabu HII NI SIKU YA NNE TANGU JUMATATU HAWAJALIPWA CHOCHOTE NA HALI ZAO NI MBAYA SANA!

Taarifa za kuaminika ni kuwa baadhi yao wameanza kuomba hifadhi ya kulala kwa wanachuo kwa kukosa Fedha za kulipia VYUMBA pia wanalia hawapati chakula cha jioni!!!

Nimatumaini yangu kuwa mradi huu wa sequip una fadhiliwa na wahisani kwa fedha za kutosha sana,IWEJE Walimu hao wasilipwe fedha zao za semina!!?

Hivi hao Walimu wanaelewa kweli hicho wanachoseminishwa kwa njaa na malazi yasiyoeleweka!!?

Naamini wizara YAKO ya elimu ipo macho na itatenda kwa ajili ya udhalilishaji huu kwa watumishi wa umma ambao ni kioo cha jamii wanaodhalilishwa hapo mwanza!!

Mungu ibariki Tanzania, Mungu awape wepesi Walimu hao wanaodhalilishwa dhalili!
Nadhani Mungu asaidie waendelee kudhalilika kwani wajue pia Mungu huyo wanayemtaraji pia hapendi mambo na tabia za wizi ikiwemo wizi wa kura zetu, walimu wamekuwa wakijikusanyia laana kwa kukubali kuwa cheap katika kazi wanazofanya wkt wa uchqguzi,

....tunawalaani sana na mda wote walaanike mpaka watakapo hacha ujinga huo, vilio vyao vipo daily tunavisikia na hapo roho zetu huwa kwatu...
 
Walimu ni wajinga sn, mgeweza kutumia umoja wenu mkatoboa
Kwamba waandamane Ili wawafundishe Watoto kuandamana!?

Hao ni kioo cha jamii Kumbuka hawapaswi kuandamana!!

Hao sio polisi hao ni wanasaikolojia,wanyoofu wa Moyo!!?

Wanatumia njia halali kufikisha ujumbe wao na Mimi wameniomba niwaandikie!

Jamiiforums ni platiform kubwa watasoma na kufanya ipasavyo kufanyika!!
 
Walimu tena hao na mlalamiko Yao!!

Tukumbuke muasisi wa Taifa Hili ni mwalimu,na marais watatu Kati ya sita waliopita ni Walimu pia!

Hii ina maana uwezekano wa kuwa na Rais mwalimu ni mkubwa kuliko kada nyinginezo ni mkubwa Sana!!
Una maanisha nini? Nadhan story yako haijafika mwisho
 
Kwamba waandamane Ili wawafundishe Watoto kuandamana!?

Hao ni kioo cha jamii Kumbuka hawapaswi kuandamana!!

Hao sio polisi hao ni wanasaikolojia,wanyoofu wa Moyo!!?

Wanatumia njia halali kufikisha ujumbe wao na Mimi wameniomba niwaandikie!

Jamii forum ni platiform kubwa watasoma na kufanya ipasavyo kufanyika!!
Ni kioo cha jamii kilicho makini katika kuisaidia CCM kuiba kura?? Kioo cha home kwako labda.
...Wendelee tu kulalama milele
 
Kwamba waandamane Ili wawafundishe Watoto kuandamana!?

Hao ni kioo cha jamii Kumbuka hawapaswi kuandamana!!


Hao sio polisi hao ni wanasaikolojia,wanyoofu wa Moyo!!?

Wanatumia njia halali kufikisha ujumbe wao na Mimi wameniomba niwaandikie!

Jamii forum ni platiform kubwa watasoma na kufanya ipasavyo kufanyika!!
Wataendelea kutumika na kubaki masikini sababu ya ujinga wao na uoga, watu wanapiga pesa kila siku wao wanasubiri sensa na uchaguzi mkuu
 
Ni kioo cha jamii kilichomakini kt kuisaidia ccm kuiba kura?? Kioo cha home kwako labda.
...Wendelee tu kulalama milele
Hakuna mwalimu mwenye Access na tume ya uchaguzi!

Hayupo kazi yao ni kusimamia uchaguzi swala la kuiba au kutoiba ni la time yenyewe ya uchaguzi teule kupitia mkurugenzi!!

Tuhuma isiyokuwa na mashiko kwao ni kuwaonea Sana !!
 
Mpwayungu Village
Ana Thread Yake Kule Kuombwa Pesa Na Ndugu Walimu Wakapondea Kuwa Wao Wanasaidia Ndugu Bila Kulalamika


Sasa Huku Thread Mmeanzisha Hamjalipwa
 
Mumeo, sasa mbona unalalamika hapa kama wanatumia njia sahihi? siwaende kwa waandaa hiyo semina au Jamii Forum ndiyo wameeanda hiyo semina? shame on you
Kwahiyo wewe unawawakilisha waandaa malipo huku JF au umejitolea. Waache wadai haki zao, JF is where people dare to talk open.

Punguza kiherehere
 
Mheshimiwa

Wizara yako itambue wanasemina hao wa sayansi kutokea Tabora wanalishwa milo miwili kwa siku yaani asubuhi na mchana pekee,pia wanajitegemea kulala kwa kulipia gesti Hadi Sasa Lakini cha ajabu HII NI SIKU YA NNE TANGU JUMATATU HAWAJALIPWA CHOCHOTE NA HALI ZAO NI MBAYA SANA!

Taarifa za kuaminika ni kuwa baadhi yao wameanza kuomba hifadhi ya kulala kwa wanachuo kwa kukosa Fedha za kulipia VYUMBA pia wanalia hawapati chakula cha jioni!!!

Nimatumaini yangu kuwa mradi huu wa sequip una fadhiliwa na wahisani kwa fedha za kutosha sana,IWEJE Walimu hao wasilipwe fedha zao za semina!!?

Hivi hao Walimu wanaelewa kweli hicho wanachoseminishwa kwa njaa na malazi yasiyoeleweka!!?

Naamini wizara YAKO ya elimu ipo macho na itatenda kwa ajili ya udhalilishaji huu kwa watumishi wa umma ambao ni kioo cha jamii wanaodhalilishwa hapo mwanza!!

Mungu ibariki Tanzania, Mungu awape wepesi Walimu hao wanaodhalilishwa dhalili!
Kada nyingi tu huwa zinafanya seminar, na malipo huwa yanalipwa hata baada ya wiki kadhaa lakini hazilalamiki kihivyo; unapo pata fursa ya seminar ndg mwalimu nenda umejiandaa, kwani mara nyingi malipo huwa yanachelewa lakini ni lazima haki yako upate
 
Wataendelea kutumika na kubaki masikini sababu ya ujinga wao na uoga, watu wanapiga pesa kila siku wao wanasubiri sensa na uchaguzi mkuu
Exactly, haya majamaa ni foolish sana, nadhani yalalamike huku yakijua na sisi tunalalamikia matendo yao ya kuisaidia CCM.

So as long as wataendelea na tabia yao hiyo ya wizi IFO CCM nasi tutaendelea kulalamika na mpaka wanastaafu watakuwa wazi.
 
Exactly, haya majamaa ni foolish sana, nadhani yalalamike huku yakijua na sisi tunalalamikia matendo yao ya kuisaidia CCM.

So as long as wataendelea na tabia yao hiyo ya wizi IFO CCM nasi tutaendelea kulalamika na mpaka wanastaafu watakuwa wazi.
Wanavuna walichopanda
 
Back
Top Bottom