Prof. Mkenda walipe walimu hela zao

Prof. Mkenda walipe walimu hela zao

amadala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2017
Posts
4,265
Reaction score
12,268
Wizara ya elimu chini ya Profesa Mkenda hii aibu mnaitaka bila sababu. Kama mlijua fedha hakuna kulikuwa na haja gani ya kuita waalimu toka mikoani kuja Arusha kwenye semina na wamekaa wiki mbili mpaka wanamaliza tarehe 2 Mei,2023 hamjawalipa fedha zao.

Huu mradi wa SEQUIP imefadhiliwa na benki ya dunia na una hela za kutosha. Kwa nini waalimu zaidi ya 250 toka mikoa 12 mnashindwa kuwalipa baada ya semina na sasa wanalalamika hivi?

Hivi kwa nini mnapenda kudharau waalimu? Haya mambo mngefanyiwa bungeni mngeelewa? Mnaposema mfumo wa kulipa fedha huko hazina unasumbua hilo linawahusu vipi waalimu mliowaita kuja kwenye hii semina? Kama mlikuwa hamjajipanga kulikuwa na haja gani kuwaita kuja kufanya semina?

Kuna muda huu utendaji wenu mbovu ndiyo chanzo cha watu kuichukia serikali kwa sababu hamjali mambo ya watu wengine na mnaona wanastahiki kupata shida.

Profesa Mkenda hili jambo ni la hovyo sana kiutendaji na unatakiwa kuheshimu waalimu hawa na kuchukua hatua haraka sana. Walipeni fedha zao na msirudie tena kuandaa hizi semina kama hela hakuna.m kuliko kutesa Hawa walimu kiasi hiki.

20230606_092316.jpg
 
Kwanza kuna waalimu wanadai Malimbikizo ya mishahara ya zaidi ya miaka mitano na mpaka sshv hawajalipwa

Sasa huyo Waziri anawatetea nini Waalimu?

Mbona kwny tasnia zingine wanalipwa malimbikizo?
 
Ila mnakua wakali kwa shule zilizoweka utaratibu wa kuendelea na masomo ya ziada. Niliwaambia hivi wizara ijikite zaidi kwenye kutatua na ubunifu kuliko kudeal na tujambo twepesi sana
 
Ipo hivi ; hizo semina nahisi ni za sayansi zinazoendeshwa Tanzania nzima. Sasa mbaya kuliko zote mtu anatoka tanga anaenda semina mwanza Kwa nauli yake, hana pesa ya gest, hana ya kula afu wanaambiwa mtapata pesa mwisho ya semina yaani siku ya ijumaa maana semina ni yawiki moja

Kama alivyosema mtoa mada hizi pesa nizaBenki ya Dunia lakini malipo yake ni kiduchu Sanaa wanatumia waraka wa zamani perdiem yaani diploma 80000 degree 120000 Kwa siku ilihali waraka Mpya unasema diploma atapewa laki na ishirini degree laki na nusu.

Ujinga ulivyo unamtoa mwalimu mbali halafu chakula anapewa mchana tu usiku juu yake, gest juu yake namaisha ya walimu mnayajua magumu halafu mnasema tutawapa mwisho wa semina

N. B. Hao ambao hawajapewa pesa zao watapata ila chamoto watakiona utapeli Kwa walimu unakua Kwa kasi Sanaa jamani walimu vichwa empty mm nawaambia hata wewe ebu siku nenda shule yoyote iliyopo karibu waambie walimu wote wapige magoti watatekeleza chamsingi tu nenda na gari ukiwa full suti
 
Ipo hivi ; hizo semina nahisi ni za sayansi zinazoendeshwa Tanzania nzima. Sasa mbaya kuliko zote mtu anatoka tanga anaenda semina mwanza Kwa nauli yake, hana pesa ya gest, hana ya kula afu wanaambiwa mtapata pesa mwisho ya semina yaani siku ya ijumaa maana semina ni yawiki moja

Kama alivyosema mtoa mada hizi pesa nizaBenki ya Dunia lakini malipo yake ni kiduchu Sanaa wanatumia waraka wa zamani perdiem yaani diploma 80000 degree 120000 Kwa siku ilihali waraka Mpya unasema diploma atapewa laki na ishirini degree laki na nusu.

Ujinga ulivyo unamtoa mwalimu mbali halafu chakula anapewa mchana tu usiku juu yake, gest juu yake namaisha ya walimu mnayajua magumu halafu mnasema tutawapa mwisho wa semina

N. B. Hao ambao hawajapewa pesa zao watapata ila chamoto watakiona utapeli Kwa walimu unakua Kwa kasi Sanaa jamani walimu vichwa empty mm nawaambia hata wewe ebu siku nenda shule yoyote iliyopo karibu waambie walimu wote wapige magoti watatekeleza chamsingi tu nenda na gari ukiwa full suti
Vip hizi ajira za walimu zilizo toka jana jina lako lipo?
 
Ipo hivi ; hizo semina nahisi ni za sayansi zinazoendeshwa Tanzania nzima. Sasa mbaya kuliko zote mtu anatoka tanga anaenda semina mwanza Kwa nauli yake, hana pesa ya gest, hana ya kula afu wanaambiwa mtapata pesa mwisho ya semina yaani siku ya ijumaa maana semina ni yawiki moja

Kama alivyosema mtoa mada hizi pesa nizaBenki ya Dunia lakini malipo yake ni kiduchu Sanaa wanatumia waraka wa zamani perdiem yaani diploma 80000 degree 120000 Kwa siku ilihali waraka Mpya unasema diploma atapewa laki na ishirini degree laki na nusu.

Ujinga ulivyo unamtoa mwalimu mbali halafu chakula anapewa mchana tu usiku juu yake, gest juu yake namaisha ya walimu mnayajua magumu halafu mnasema tutawapa mwisho wa semina

N. B. Hao ambao hawajapewa pesa zao watapata ila chamoto watakiona utapeli Kwa walimu unakua Kwa kasi Sanaa jamani walimu vichwa empty mm nawaambia hata wewe ebu siku nenda shule yoyote iliyopo karibu waambie walimu wote wapige magoti watatekeleza chamsingi tu nenda na gari ukiwa full suti
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hiyo aya ya mwisho ni noumah.
 
Back
Top Bottom