Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
www.jamiiforums.com
Wewe bila shaka unalala sebuleni kwa KitilaWana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?
CCM oyeeee!
HahahahahaHatutaki hata kumsikia, toa ujinga wako hapa.
Goba? Acha upuuzi.Wana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?
CCM oyeeee!
Mitano ipi hiyo, kwahiyo kwenye ahadi zake aliahidi barabara tu? Na kuna barabara nyingi tu ni mbovu, vipi kuhusu maji? Goba watu wana zaidi ya miezi 6 maji hayatoki kwenye mabombaWana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?
CCM oyeeee!
Huwa ninapenda misimamo Yako sanaHatutaki hata kumsikia, toa ujinga wako hapa.
ule sio Profesa na hataweza kuwa ProfesaWana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?
CCM oyeeee!
Barabara ya Goba unajua imejengwa lini? wewe n bogusWana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?
CCM oyeeee!