peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hali. iliyopo nchini kiungozi,sehemu kubwa sio uwezo wa kiongozi bali ni uchawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa yupo kaziniWana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?
CCM oyeeee!
Mkumbo ni hovyo sana anaenda na mikumbo TU! Njaa!!!Chawa usie na haya wewe.
Mkumbo huyu huyu au mwingine. Hata bure hatumtaki.
Tuliza mshono. Tukutane Kwa wajumbe!Pumbavu kabisa, jimbo la ubungu na kibamba ni majimbo ya hovyo kabisa. Yaani wilaya ya ubungo hatutaki kuwaona wabunge wake, huyo Mchomvu ndio hamna kitu kabisa...
🤣 🤣 🤣 🙋♂️Chawa usie na haya wewe.
Mkumbo huyu huyu au mwingine. Hata bure hatumtaki.
Mkuu wajumbe si watu wa zuri hata kidogo!! Wajumbe!! We wasikie tu!!!Tuliza mshono. Tukutane Kwa wajumbe!
Usipende kuongea hewa. Kura zote utapata wapi? Wakati hufanyi lolote jimboni?Kura zote kwa Professor
Msipomchagua mama atamteuwa kwa kazi nzuri anayoifanya katika wizara ya mipango.Hatutaki hata kumsikia, toa ujinga wako hapa.
Kazi gani?Msipomchagua mama atamteuwa kwa kazi nzuri anayoifanya katika wizara ya mipango.
Kajenga barabara kata zoteUsipende kuongea hewa. Kura zote utapata wapi? Wakati hufanyi lolote jimboni?
Hatari sanaNakuhakikishia ccm wakimuweka huyo hapati kura kajamaa tokea kapate uwaziri kamepotea kabisa.
mimi binafsi ni mkazi wa kimara simkubali kabisa kitila na akisimamishwa simpi kura yangu
Hivi wewe unajua kwamba hata mimi na wengine wengi tunaishi Ubungo? Mbona unaandika urongo? Usijidhalilishe mbele za watu.Kajenga barabara kata zote
Ubungo ya MkumboWana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?
CCM oyeeee!
Wewe ni mjinga ujitambui na sio mpiga kura.Nakuhakikishia ccm wakimuweka huyo hapati kura kajamaa tokea kapate uwaziri kamepotea kabisa.
mimi binafsi ni mkazi wa kimara simkubali kabisa kitila na akisimamishwa simpi kura yangu
Wewe hunijui wala sitaki nikujuwe .Wewe ni mjinga ujitambui na sio mpiga kura.
Kitila sio mbunge wa Kimara.