Prof. Mukandala adai CCM ina "wakati mgumu"!

Duh,,,,, nadhani mode ipeleke kwenye udaku kama kweli haya maneno ni sahihi, maana!!!!!

Watu wanakubaliwa kutoa maoni, maana hawailipii VAT. Heading kuwa tofauti na kuambiwa kuwa more to come haina maana ni udaku.

Ila hakuna kodi kwa kutoa maoni
 
Watu wanakubaliwa kutoa maoni, maana hawailipii VAT. Heading kuwa tofauti na kuambiwa kuwa more to come haina maana ni udaku.

Ila hakuna kodi kwa kutoa maoni

Katika huo "udaku" Mukandara, akiwa pale Nkurumah Hall leo, mbele ya mabalozi, mawaziri, wabunge na viongozi wa vyama vya siasa alisema haya yafuatayo na mengine:

 
Last edited:
Je ni yule aliyefanya utafiti kuwa JK anakubalika kuliko wagombea wengine?
Je ni yule ambaye ktk misafara ya kwanza ya JK kwenda Amerika alikuwemo?
Je ni yule ambaye alibatilisha tarehe ya uchaguzi wa Daruso UDSM kwa kuwa baadhi ya wanafunzi walionekana kutofautiana na sersa za sisiem?
It's nothing more than propaganda and declaration of filth pyschological battle b4 JK speech on Bunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…