Pre GE2025 Prof. Musa Assad(CAG) aibukia CHADEMA, atoa mafunzo

Pre GE2025 Prof. Musa Assad(CAG) aibukia CHADEMA, atoa mafunzo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Leo tarehe 12 Machi 2025 Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad ametoa mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu, Sekretarieti ya Kamati Kuu, Makatibu wa Kanda na Viongozi wengine
20250312_171803.jpg

20250312_171810.jpg

20250312_171556.jpg

Prof Musa Juma Assad CAG mstaafu ameibukia CHADEMA na kutoa mafunzo wa viongozi.
 
CHADEMA ina Great Minds Mama kajaza Machawa wa kila aina huko.
 
Back
Top Bottom