OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Leo tarehe 12 Machi 2025 Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad ametoa mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu, Sekretarieti ya Kamati Kuu, Makatibu wa Kanda na Viongozi wengine
Prof Musa Juma Assad CAG mstaafu ameibukia CHADEMA na kutoa mafunzo wa viongozi.
Prof Musa Juma Assad CAG mstaafu ameibukia CHADEMA na kutoa mafunzo wa viongozi.