Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.

Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.

Ukweli lazima usemwe hata kama yupo kaburini, ikionekana ana makosa afukuliwe na kuchwapwa bakora
 
Eti niliomba nyaraka nikanyimwa,

Itakua walishazifahamu tabia zake za kupenda kufanya yasiyomhusu ndio maana wakamnyima ,

Ingawa hajasema ni nyaraka zipi ili tujue kama alikua anastahili kupewa ama la.

Poor reasoning
 
Namfahamu alikuwa mwl wangu.. ILA KWENYE HILI NIMEMSHUSHA KWA UNAFIKI WAKE
Kama alikuwa mwl WAKO na hujamuelewa kwa hili dogo TU...NINA MASHAKA SANA NA KICHWA CHAKO...NAMUONEA HURUMA PROF KUWA NA ZERO BRAIN KAMA MWANAFUNZI WAKE
 
Eti hata train hajapanda[emoji16][emoji16]aisee kweli sindano zinauma
 
Namfahamu alikuwa mwl wangu.. ILA KWENYE HILI NIMEMSHUSHA KWA UNAFIKI WAKE
Hakuwa mwl wako ila mataga ndo mwl wako. Mimi ni mwl wangu namkubali mwanzo mwisho....si mnafiki.
 
Adolf Hitler na hata makaburu wa Afrika Kusini walifanya makubwa kuliko hayo unayoyataja lakini wanakumbukwa na kulaaniwa zaidi kwa ukatili na mauaji ya binadamu wenzao.
 
Adolf Hitler na hata makaburu wa Afrika Kusini walifanya makubwa kuliko hayo unayoyataja lakini wanakumbukwa na kulaaniwa zaidi kwa ukatili na mauaji ya binadamu wenzao.
History will tell iwapo Magufuli alikuwa ni kaburu au mbaguzi!
 
Namfahamu alikuwa mwl wangu.. ILA KWENYE HILI NIMEMSHUSHA KWA UNAFIKI WAKE
Kumbe prof Assad naye kafundisha mazwazwa?? Dah hii nchi tuna bahati mbaya sana
 
Wale wale, ondoka usemwe, huyu ni wa tatu baada ya Kigwangala na Ndugai, so what ? Anafuta huruma kwa nani sasa,? Ikiwa 2+ years alikuwa kimya, namsihi mama samia awe makini sana na watu wa aina hii.

#kaziIendelee
Nilisema katika uzi wangu mmoja kuwa haya mashambulizi dhidi ya JPM yako coordinated na kuna mtu nyuma anachezesha mchezo.

In short, mafisadi, majizi ya mali za umma kupitia mikataba mibovu yanataka kuiteka nyare tena nchi. Haya mashambulizi ni sehemu ya mkakati huo.
 
Umemaliza...HIZI NI SIFA HALISI NA SIYO ZILE TUNAZOIMBIWA MTAANI
 
Mmmmh yakweli haya?aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…