Ujajibu niliyokuuliza unauliza tena au wewe ndio unapenda kujibiwa? Uliza huyo porofesa wako na miradi ya kifisadi ya NSSF chini ya DAU kule kigamboni.Na siku zote nani alienda kumuuliza na leo kajipeleka kwenye vyombo vya habari ama vimemfuata!?
Huo u professor alipewa na nani⁉️Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga
Kwanini hili la ndege na mnunuzi ambayo hayakupitishwa wala kuidhinishwa mnakwepa kujibu na kuyaongelea na mtu akiyaongelea anaonekana katumwa?Ujajibu niliyokuuliza unauliza tena au wewe ndio unapenda kujibiwa? Uliza huyo porofesa wako na miradi ya kifisadi ya NSSF chini ya DAU kule kigamboni.
Heka moja kule kigamboni walikuwa wananunua kiasi gani
Mimi nilitarajia CAG angesema ndege ilikuwa inauzwa labda elfu kumi lakini ikanunuliwa kwa elfu 15 ili watu wapige 10 percent. Kama shida ni kufuata tu utaratibu wa manunuzi... tumsamhe tu maana alikuwa na muda mfupi sana kutekeleza ahadi zake. Asamehewe tuKwanini hili la ndege na mnunuzi ambayo hayakupitishwa wala kuidhinishwa mnakwepa kujibu na kuyaongelea na mtu akiyaongelea anaonekana katumwa?
Acheni watu wapumuwe, tusaidieni uwazi na ukweli halafu hiki si kipindi cha kubwabwaja ni data tu.
Mkuu naomba unisaidie report ya CAG kama unayo kwa Pdf
Ulisoma report ya CAG ya mwaka 2015/16 na 2016/17
Majibu yako yako humo,
Sasa tusaidie na hili la sasa ili tujue hela zetu ziliingiaje na kutumikaje
Kama wasiojulika walifanya matukio ya wazi mbona humuwataji kwa majina ili kuisadia Serikali?,hivi unakuyakumbuka mauji ya albino na wachuna ngozi? Hayo matukio ni mabaya na yalileta gumzo duniani.Hawa wengine ulowataja huenda ni mambo ya kudhulumiana ktk biashara zao na unafiki ktk kazi zao.Ni kweli kila awamu ina zama zake ila Matukio mengi ya wasiojulikana yalizidi sana awamu ya 5 hata kama yalikuwepo huko nyuma yalikuwa ya siri mno na ngumu kujua kama waliotekeleza wasiojulikana.
Awamu ya 5 wasijulikana walikuwa wanafanya mambo waziwazi mtu anapigwa risasi sehemu yenye ulinzi mkali na hakuna aliyekamatwa.
Ben anatekwa hadi kina zitto walivyofatilia polisi wakaambia sisi tumefikia hapa katika uchunguzi huko mbele hatupawezi maana waliomchukua ben ni "TEETH".
Watu walikuwa wanaokotwa kwenye viroba kila siku.
Wafanyabiashara walikuwa wanauawa na TASK force sema Zakaria ndio aliwafundisha adabu.
Mkuu kama umejitahidi kuelewa na mwisho ukakomea hapo sina comment kwakoMimi nilitarajia CAG angesema ndege ilikuwa inauzwa labda elfu kumi lakini ikanunuliwa kwa elfu 15 ili watu wapige 10 percent. Kama shida ni kufuata tu utaratibu wa manunuzi... tumsamhe tu maana alikuwa na muda mfupi sana kutekeleza ahadi zake. Asamehewe tu
Huyu nae ni wale wale, busara ingemtuma kuendelea kukaa kimya angeendelea kuheshimika, sasa mbaya wake kaondoka ndio anapata kutoa yake ya moyoni?. Hawa maprofesa wote hovyo kabisa.Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.
Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.
Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.
Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.
===
Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.
Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.
Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.
View attachment 1749054
Wanaweweseka mchana kweupeeeeHayaoni yaliyomtokea TL?
Kwamba wewe unaamini kuwa CAG aliyepo amepewa nyaraka hizo na Mh Samia baada ya Magufuli kufa, akazifanyia kazi na kabla hata ya siku 14 akamaliza taratibu zote za kiukaguzi na kuwasilisha ripoti kwa raisi?Prof Assad kuna jambo anatupa ishara hapa kuhusiana na hizo nyaraka kufichwa Ikulu, kwa wenye akili wanaelewa ishara anayotoa. Ametumia fasihi kusema ya kwamba aliziomba hizo nyaraka ila hakupewa zimefichwa Ikulu.
Na pengine marehemu alishazichoma moto kitambo au alizipeleka kwake "CHATO" kuzificha chini ya uvungu wa kitanda. Aligeuza nchi ya kwake peke yake.
Unataka unikute chumbani kwa mamaako ndiyo ujue nimekua?maslahi ya nchi unayajia wewe!!!
kua kwanza dogo.
Unataka unikute chumbani kwa mamaako ndiyo ujue nimekua?
We Assad ulie tu. Umedanganywa na ZZK kwamba kazi yako ni mpaka ustaafu ukalewa ukasahau kusoma terms of reference za ajira yako yakakukuta yaliyokukuta. Pole sana . Nasikia wewe ni DVc chuo kikuu cha Kiislam. Majuto mjukuu yahe. Unataka kuwaaminisha kuwa CAG mpya alipewa hizo nyaraka ulizonyimwa wewe baada ya JPM kufariki. Ni juha tu atakubaliana na wewe. Katika kipindi kifupi hakifika hata mwezi ukaguzi ufanyike na ripoti zitoke kwa mirad mikubwa kama hiyo??Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.
Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.
Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.
Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.
===
Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.
Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.
Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.
View attachment 1749054
Profesa anakuja kuongea wakati Bosi wake ameshafariki dunia. Unafiki ule ule tu.Alipaswa kujiuzuru immediately.
Kama umepewa kazi flani ufanye halafu ukanyimwa vitendea kazi, hapo utakua unafanya kazi gani? Unapaswa kuachana nayo haraka.
Sasa yeye hakujiuzuru halafu anakuja kulia lia hapa. Hizi ni chuki tu za kufumuzwa u cag.
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine
Tu endelea kupigwa siyo..Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa.
Ulishamalizana nao basi sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi. Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine.
La kuuziana nyumba za NSSF vipi?Kwanini hili la ndege na mnunuzi ambayo hayakupitishwa wala kuidhinishwa mnakwepa kujibu na kuyaongelea na mtu akiyaongelea anaonekana katumwa?
Acheni watu wapumuwe, tusaidieni uwazi na ukweli halafu hiki si kipindi cha kubwabwaja ni data tu.
Mkuu naomba unisaidie report ya CAG kama unayo kwa Pdf
Ulisoma report ya CAG ya mwaka 2015/16 na 2016/17
Majibu yako yako humo,
Sasa tusaidie na hili la sasa ili tujue hela zetu ziliingiaje na kutumikaje
La kuhonga nyumba na kuuziana kwa bei za kizalendo za kizando vipi?La kuuziana nyumba za NSSF vipi?
Kwa maana hiyo sina hata sifa za kutoa ushahidi mahakamani kama Kesi inaihusu Ofisi niliyo wahi kuifanyia Kazi?Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa.
Ulishamalizana nao basi sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi. Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine.