Paschal112
Member
- Nov 1, 2019
- 19
- 3
Sheria inasema kuwa CAG atafanya kazi kwa mkataba wa miaka mitano, na kama Mamlaka inayofanya uteuzi ikiona anafaa kuendelea nanye atampatia mkataba mpya na akiona hapendezewi naye basi hatapewa mkataba mpya.October 3, 2019
- October 6 1961
Miaka 57 na siku 362
Huko kwenu huwa wanastaafu na miaka 58?
Darasa la tatu kwenda la nne mtihani wa hesabu ulipata ngapi?
Unajiabisha, haya mambo ni makubwa kwako huna uwezo wa kuandika comment yoyote hapa. Nenda kahamasishe maVEO waendelee kukimbia ofisi na kukataa fomu za wapinzani, mambo ya sheria na sisi wazee wa praise & worship team hapa na wapiCAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake
Huyu mzee anazeeka vibaya
So very sad, Maguzimaji is such a DEVIL!Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi - Prof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya
Nilipoteuliwa nilipewa barua ya uteuzi iliyoeleza mambo kadhaa ya kisheria na vifungu vya kisheria kuhusu uteuzi wangu, lakini hii termination imekuja bila hata barua ya kueleza chochote ama kufafanua kifungu chochote cha kisheria kuhusu termination yangu
Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote rasmi juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi''Prof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya
==========================================
No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
[emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]aisee kumbe ememfuta kazi CAG Assad akiwa njiani kikazi kwenda kukagua hesabu ambazo hakupaswa kuzigusa.
'' Nilipoteuliwa nilipewa barua ya uteuzi iliyoeleza mambo kadhaa ya kisheria na vifungu vya kisheria kuhusu uteuzi wangu, lakini hii termination imekuja bila hata barua ya kueleza chochote ama kufafanua kifungu chochote cha kisheria kuhusu termination yangu'' 😛rof Mussa AssadKwa kifupi jamaa anajiona ana akili kuliko watanzania wote.
Kuondolewa kwa Prof Assad kama CAG ni mkakati wa muda mrefu, jaribio la kwanza alifanya spika kisha akasema CAG akaombe msamaha kwa Raisi, Ili jambo limetutia aibu na pia kurudisha nyuma uwajibikaji, rushwa na ulinzi wa pesa za umma, tunapiga vipi vita rushwa?!Unajiabisha, haya mambo ni makubwa kwako huna uwezo wa kuandika comment yoyote hapa. Nenda kahamasishe maVEO waendelee kukimbia ofisi na kukataa fomu za wapinzani, mambo ya sheria na sisi wazee wa praise & worship team hapa na wapi
Hafadhali yeye amezeeka akiwa mzee ila umezeeka ukiwa kijanaCAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake
Huyu mzee anazeeka vibaya
Mmeshamjiba Asaad zile trion 1.5 ziko wapi?Ndio CAG mpya anaanza kazi jumanne
Huyu aliyepo anamaliza kazi kesho
Tatizo lako ni lipi?
Kuzeeka vibaya kuna husianaje mkuu?mbona kama ume panic hiviCAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake
Huyu mzee anazeeka vibaya
Kwa kifupi jamaa anajiona ana akili kuliko watanzania wote.
Kumbe!!!!!!hayo ni mapungufu ya katiba sasa au we unaonaje.?Soma katika ya Tanzania
Ukishatumikia nafasi ya CAG haruhusiwi kujiunga na chama chochote cha siasa..