Prof Nabi "The big brain coacher (BBC)" bado Wana Yanga tunaimani kubwa sana na wewe

Hana ubig brain wowte amezoea makando kando mengi kutoka kwa opponets wake
Kwenye press alikuwa analia muda wa maandalizi ulikuwa mdogo sasa sisi tumsaidiaje na wiki nzima wanapakana unga avic town
Ila anaendelea kujitwalia makombe matatu yote mbele yenu Mbumbumbu kwa miaka miwili mfululizo 2022 & 2023 na Makolokolo mkitoka kapa, umeshindwaje kuficha upumbavu wako hata kwa akili za kuvukia barabara tu [emoji848][emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hakujitwalia hayo makombe april 16 au ni huo mwiko huko nyuma unakutesa tangu usokomezwe leo dakika ya 84?
 
Hana ubig brain wowte amezoea makando kando mengi kutoka kwa opponets wake
Kwenye press alikuwa analia muda wa maandalizi ulikuwa mdogo sasa sisi tumsaidiaje na wiki nzima wanapakana unga avic town
Nenda kaongee na Azam kwanza ndipo uje huku caf
 
Tatizo timu ina wajuaji wengi hii kila mmoja alitaka sifa , timu ikishakuwa na wajuaji wengi hamna kitu , Kwa mwarabu kila refa atapigwa million 300 , Kama mameloud alivyofanywa , Yanga lazima age nyingi
Kwa hiyo Simba alipewa kibunda na azam
 
Umeona ee, hii mechi ilikuwa inawahitaji sana akina djuma na lomalisa vs Morrison mapema.
Naungana na ww ilitakiwa ile ile dkk ya 45 ya kiond cha pili hawa watu waingie tena morisson alikua muhimu sana yaAn
 
kocha kashindwa fanya sub mapema sana. Nilidhani Morrisson angeingia kipindi cha pili tu kilivyoanza. Twisila alikua ovyo tu leo alikuwa mchoyo sana aliendelea tu kumwacha afanye madudu uwanjani, kocha kachemka sana leo
 
Kocha Leo kazingua sana, haiwezekani unaona kabisa team imefail halafu unafanya sub dk za 80 kweli...
Ulitaka afanyejee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo mbinu na uwezo viliishia paleee.
 
Hana ubig brain wowte amezoea makando kando mengi kutoka kwa opponets wake
Kwenye press alikuwa analia muda wa maandalizi ulikuwa mdogo sasa sisi tumsaidiaje na wiki nzima wanapakana unga avic town
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuongea hata kimakondee kweliiii?? Woiiiiiih
 
Naungana na ww ilitakiwa ile ile dkk ya 45 ya kiond cha pili hawa watu waingie tena morisson alikua muhimu sana yaAn
Mbna hata hakuna walichofanya, bao LA 2 uliona lakini?? Watu wanacheza mpira weyee, na mpira unaitikaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeona ee, hii mechi ilikuwa inawahitaji sana akina djuma na lomalisa vs Morrison mapema.

Hapana ... kazi waliyofanya Job & Kibwana ni bora kuliko hii mitumba djuma na lomalisa. Hii mikongo haijui kukaba.. imefanya utopolo ikafungwa goli la uwanja wa mazoezi.
 
Mbna hata hakuna walichofanya, bao LA 2 uliona lakini?? Watu wanacheza mpira weyee, na mpira unaitikaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Morisson alikua anahitajika mapma n mtu wa kufosi saNa angaLia goli la mayele afu utanambia kafanya nn..? Kuna like goli dkk za mwsho morson kakosa ilikuaje..? sema mvua nayo jau
 
Morisson alikua anahitajika mapma n mtu wa kufosi saNa angaLia goli la mayele afu utanambia kafanya nn..? Kuna like goli dkk za mwsho morson kakosa ilikuaje..? sema mvua nayo jau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kubalii wale jamaa wanachezaa mpiraaa bhanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…