Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na nakuambia watoto wa namna hiyo usishangae kukuta zinachaji kuliko hawa wa kupelekwa na mataxi shuleniNi wapi hiyo? Madogo wanapata taabu ila wako vizuri, ni wapambanaji kinyama hao 😁😁
jibu hili lipo katika clip au ndo vile tena?!!Lindi
Nadhan ktk masomo yao waonhezewe na somo LA ubaharia walau kutambua uwezo wao wa kwenye majiHawa baadae waandaliwe wakashiriki mchezo wa kupiga makasia olimpiki.
Tunapaswa kwenda kuwekeza nyumban kwetu sio kwa vile tupo dar tunapasahau tulipotokaThat's why Siwapendi CCM.
Dan
Ni shida tupu huko vijijini...wako wanafunzi wanaoliwa na mamba marneo mengine, pia wanyama wakali Kama fisi na chui...pia chatu....yaani vijijini maisha ni shida...lakini viongozi wachache wanaliona hili...Mungu mkubwa...