TANZIA Prof. Nkunya wa TCU afariki dunia

TANZIA Prof. Nkunya wa TCU afariki dunia

So sad. On 20/12/2020 my classmate at Old Moshi sec 1970/71 form iv/vi passed away - Prof. Bakari Lembariti - MUHAS.

Leo college mate UDSM Prof. Mayunga Nkunya 1972 - 1975 tuliyekuwa naye hapo mlimani.

So sad. Najiandaa kuagana nanyi wana jf. Hii ndiyo reality.
Hapana Kaka yangu. Kufa kila mmoja atakufa ila wewe kwa neno la Mwenyezi Mungu hutakufa sasa wala karibuni.

Professor Mbilinyi, walipokufa wenzake ambao alifanya nao kqzi katika kuleta mabadiliko ya mifumo ya kifedha Serikalini, miongoni mwao akiwemo marehemu Kibona, yeye alisema, "watu wangu wa karibu wamefariki mapema, mimi nadhani Mungu ataniacha niishi nimalizie hata ile miaka walioiacha wenzangu". Professor Mbilinyi akaishi miaka zaidi ya 20 toka vifo vya wale mates wake, akafariki mwakajana. Waaziri Kibona kama nipo sahihi, nadhani alifariki mwaka 1998.
 
Mayunga ni watu wa Mara, kanda ya Ziwa ni kubwa sana ina mikoa mingi na watu wengi sana too bad wote wanaitwa wasukuma, mikoa yote hii Mwanza, Simiyu, Geita, Shinyanga, Mara, Kagera hawa wote ni kanda ya ziwa, hapo bado Tabora ambayo si kanda ya ziwa ila watu wake wana uhusiano wa karibu sana wa kiutamaduni na kiuchumi na kanda ya ziwa.

Matusi na kejele za wanasiasa hasa hasa CDM dhidi ya kanda ya Ziwa ni hatari kwa taifa na hatari hata kwa mustakabala wao, kwa mara ya kwanza kuna uwezekano wa kanda ya ziwa wakaungana na kupiga kura za maruhani ( hasira) dhidi ya hizi kejeli mnazofanya.
Hapana mkuu, Mayunga hawezi akatoka Mara! Hili jina ni la Kisukuma, na maana yake huenda wakati anazaliwa labda baba yake alikuwa ameondoka nyumbani kwa ajili ya kwenda kutafuta ridhiki mbali na familia!
 
Hapana mkuu, Mayunga hawezi akatoka Mara! Hili jina ni la Kisukuma, na maana yake huenda wakati anazaliwa labda baba yake alikuwa ameondoka nyumbani kwa ajili ya kwenda kutafuta ridhiki mbali na familia!
Masunga ni wasukuma, sasa Mayunga sijui ni wa wapi
 
Shikamoo mkuu
Sasa ni wakati wanaJF kufahamu umri wa baadhibya wakongwe.

Nitamshangaa siku moja nikimsikia mtu anatoa maneno ya hovyo, yaliyokosa hekima na staha kwa mze wwtu Jo Tsoxo.

Sote tumejua, huyu ni miongoni mwa wazee wetu hapa JF. Tufurahie na tupende kupata hekima zao kutokana na uzoefu wao mkubwa wa maisha.
 
Mayunga ni watu wa Mara, kanda ya Ziwa ni kubwa sana ina mikoa mingi na watu wengi sana too bad wote wanaitwa wasukuma, mikoa yote hii Mwanza, Simiyu, Geita, Shinyanga, Mara, Kagera hawa wote ni kanda ya ziwa, hapo bado Tabora ambayo si kanda ya ziwa ila watu wake wana uhusiano wa karibu sana wa kiutamaduni na kiuchumi na kanda ya ziwa.

Matusi na kejele za wanasiasa hasa hasa CDM dhidi ya kanda ya Ziwa ni hatari kwa taifa na hatari hata kwa mustakabala wao, kwa mara ya kwanza kuna uwezekano wa kanda ya ziwa wakaungana na kupiga kura za maruhani ( hasira) dhidi ya hizi kejeli mnazofanya.
Unatafuta matusi
 
Back
Top Bottom