BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Ujinga ujinga kila mahali kuanzia mitaa ya magogoni. Imagine hali hii ikiendelea mpaka 2025 au 2030! Maskini Nchi yetu!
Utadhani misaada ndio tunaanza kupokea leo, unakuta jitu kama hili limesoma huko na kukaa na familia yake zaidi ya miaka kumi now anakuja na simple logics,
Africa tuna shida lkn kipindi hiki TZ tumezidi.