Zanzibar 2020 Prof. Omari Fakih Hamad ashinda Jimbo la Pandani, Zanzibar

Zanzibar 2020 Prof. Omari Fakih Hamad ashinda Jimbo la Pandani, Zanzibar

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
631
Reaction score
1,577
Mgombea uwakilishi jimbo la Pandani kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Prof; Omar Fakih Hamad, ameibuka mshindi baada ya kupata kura 2361 dhidi ya kura 1934 alizopata mgombea wa CCM kwenye uchaguzi mdogo katika Jimbo hilo.

Jimbo la Mpandani limefanya Uchaguzi wa Mwakilishi kufuatia kifo cha aliyekuwa Mwakilishi Mteule wa Jimbo hilo Abubakar Khamis Bakari kupitia Chama cha ACT Wazalendo kufariki dunia, usiku wa kuamkia Novemba 11, 2020.

FB_IMG_1616951208518.jpg
 
Mgombea uwakilishi jimbo la Pandani kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Prof; Omar Fakih Hamad, ameibuka mshindi baada ya kupata kura 2361 dhidi ya kura 1934 alizopata mgombea wa CCM kwenye uchaguzi mdogo katika Jimbo hilo. View attachment 1737017
Hongera ACT Wazalendo kwa ushindi japo tulikuwa hatujui kama kuna Uchaguzi.
 
One positive side ya mama Samia ni kuchukia hizi dhuruma za dhahiri na bila shaka hatokubali kuencourage uporaji kwenye uchaguzi. Huyu ni muumini mzuri wa imani yake.

Kimsingi alishawahi kusikika akisema alijoin politics ili “akawasute” wanaCCM waliokuwa wanapiga porojo tu bungeni.
 
One positive side ya mama Samia ni kuchukia hizi dhuruma za dhahiri na bila shaka hatokubali kuencourage uporaji kwenye uchaguzi. Huyu ni muumini mzuri wa imani yake

Kimsingi alishawahi kusikika akisema alijoin politics ili “akawasute” wanaCCM waliokuwa wanapiga porojo tu bungeni
Hahaha. Braza yaelekea hujui siasa za Afrika au CCM inapokuja suala la Uchaguzi, pia yaelekea you're too optimistic. Ccm ni ile ile, Mama atapanga Team yake ya uchaguzi wa 2025. Na atatumia nguvu za dola kubaki madarakani.
 
Back
Top Bottom