Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Well saidKiasi washinde ,maana Juma Duni au Bob Juma alikuwa akizunguka na kutazama kila kona kuliko usalama wa taifa. Yaani ile nafasi ya usimamizi na ulinzi wa eneo nao pia aliivaa ,ukipita katika anga zake anakuuliza unaenda wapi,halafu tusisahau CCM haijawahi kushinda Pemba,hawaitaki hata kuiona na ukiongezea kupotea kwa mashee wa uamsho ndio kabisa.