Zanzibar 2020 Prof. Omari Fakih Hamad ashinda Jimbo la Pandani, Zanzibar

Well said
 
Alikuwa anatafuta kiki tu. Ndugu zake wangapi wamefariki hajakufuru iwe kwa mtu anayemsikia?
Alivuta bangi nyingi sana siku hiyo
Kuna watu wanaomboleza hadi wanakufuru.Muumba fundi anakusudi lake tuyapokee maisha yasonge.
 
Unaweza kutueleza sababu Jokakuu? Alikuwa mtu wako wa karibu?

..hakuwa mtu wangu wa karibu.

..ila nilianza kumfuatilia wakati wa Bunge Maalum la Katiba.

..baada ya hapo nikagundua mchango wake mkubwa ktk harakati za demokrasia na siasa za Znz.

..kabla ya uchaguzi wa 2020 nilitamani Cdm na Act washirikiane, Aboubakar Khamis Bakari awe mgombea mwenza wa Tundu Lissu.

..Kifo chake kimenisikitisha sana.

NB.

..Mh.Aboubakar alituchekesha wengi alipompiga dongo Mh.Ole Sendeka wakati wa bunge maalum la katiba.
 

Huyu bwana ndiye wakati fulani alikuwa Attoney General wa Zanzibar? Kama ni yeye aligraduate LL.B pale UDSM mwaka mmoja na marehemu Maalim Seif na Babu Duni. [1975]!!!
 
Huyu bwana ndiye wakati fulani alikuwa Attoney General wa Zanzibar? Kama ni yeye aligraduate LL.B pale UDSM mwaka mmoja na marehemu Maalim Seif na Babu Dini. [1975]!!!

..Ndiye huyo.

..aliwahi kuwa AG wa Znz.

..Jaji wa mahakama kuu ya Znz.

..Waziri wa Sheria na Katiba wa Znz.
 
Watanzania wamerudishiwa Haki ya kuchaguwa viongozi wanaowataka .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…