Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.

Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.

Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.

Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!

APDATES

Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”



PIA, SOMA:
 
Nimemuona katika kipindi cha Focus on Africa akihojiwa na Peter Okoche; the guy seems to be an incorrigible liar! Alipoulizwa kuhusu magazeti na vituo vya radio kufungiwa alikana na kudai kuwa ni gazeti moja tu, The Citizen ndiyo iliyopata kufungiwa; tena kwa wiki moja! Kwa hiyo kulingana na waziri wetu Mseto, Mwanahalisi, Mawio, nk yamejifungia yenyewe! Incredible.
 
Nimemuona katika kipindi cha Focus on Africa akihojiwa na Peter Okoche; the guy seems to be an incorrigible liar! Alipoulizwa kuhusu magazeti na vituo vya radio kufungiwa alikana na kudai kuwa ni gazeti moja tu, The Citizen ndiyo iliyopata kufungiwa; tena kwa wiki moja! Kwa hiyo kulingana na waziri wetu Mseto, Mwanahalisi, Mawio, nk yamejifungia yenyewe!
Unapomsoma na kumsikiliza Prof. Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi.
 
Nimemuona katika kipindi cha Focus on Africa akihojiwa na Peter Okoche; the guy seems to be an incorrigible liar! Alipoulizwa kuhusu magazeti na vituo vya radio kufungiwa alikana na kudai kuwa ni gazeti moja tu, The Citizen ndiyo iliyopata kufungiwa; tena kwa wiki moja! Kwa hiyo kulingana na waziri wetu Mseto, Mwanahalisi, Mawio, nk yamejifungia yenyewe! Incredible.
Kwake yeye hayo mengine siyo magazeti. Ni makitu ingine.
 
Nimemuona katika kipindi cha Focus on Africa akihojiwa na Peter Okoche; the guy seems to be an incorrigible liar! Alipoulizwa kuhusu magazeti na vituo vya radio kufungiwa alikana na kudai kuwa ni gazeti moja tu, The Citizen ndiyo iliyopata kufungiwa; tena kwa wiki moja! Kwa hiyo kulingana na waziri wetu Mseto, Mwanahalisi, Mawio, nk yamejifungia yenyewe! Incredible.
Ndio maanaaa anashangilia kuitwa MPUMBAVU,
 
Back
Top Bottom